Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Twenzetu Kigoma na Treni ya Deluxe kucheki mechi ya SIMBA na YANGA

TRC ikishirikiana na Clouds Media Group wamekuandalia safari kuelekea Kigoma siku ya Ijumaa jioni trh 23/July na kugeuza J2 usiku trh 25/July baada ya mechi kuisha.

Twende ukashuhudie watani wa jadi wakiminyana katika ardhi ya Kigoma.

Gharama ni
Third Class 100,000/=
Second sitting 120,000/=
Second Sleeping 150,000/=
Gharama hizo zitahusisha Nauli ya kwenda na kurudi, kiingilio uwanjani na Burudani wakati wa safari.Njoo uone Behewa linapokuwa NIGHT CLUB wkt wote wa safari.

Kwa mawasiliano zaidi piga Simu ya Shirika No 0800110042. TRC Karibu tukuhudumie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa.... Kwa taarifa zilizonifikia siku ya leo ni kwamba mwana selfika mwezetu ndugu T 1990 ELY alipata ajali jana jioni, hajavunjika ila amepata majeraha mengi tu.
Tumuombee mwenzetu Mungu wa mbinguni amponye haraka.

My prayers on you. Get well ASAP T 1990 ELY
Ajali imetokea wapi na lini?
JAH amsaidie apone na arejee afya njema km mwanzo.
 
Wapendwa.... Kwa taarifa zilizonifikia siku ya leo ni kwamba mwana selfika mwezetu ndugu T 1990 ELY alipata ajali jana jioni, hajavunjika ila amepata majeraha mengi tu.
Tumuombee mwenzetu Mungu wa mbinguni amponye haraka.

My prayers on you. Get well ASAP T 1990 ELY
Mpe pole Sana and get well soon
 
Tii Kiu Yako
Screenshot_20210706-223903.jpg
 
Wapendwa.... Kwa taarifa zilizonifikia siku ya leo ni kwamba mwana selfika mwezetu ndugu T 1990 ELY alipata ajali jana jioni, hajavunjika ila amepata majeraha mengi tu.
Tumuombee mwenzetu Mungu wa mbinguni amponye haraka.

My prayers on you. Get well ASAP T 1990 ELY
Duaa zetu zipamoja nae.

Mungu atamjaalia shifaa ya haraka
 
Back
Top Bottom