Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Predator imetoka mwaka 1987. Hata kufikiriwa kuzaliwa ulikuwa bado. Acha kamba








Predator imetoka mwaka 1987. Hata kufikiriwa kuzaliwa ulikuwa bado. Acha kamba








Ooh pole mpendwa Kama Jana vile.40 days
Mungu ni baba.
Mimi nimeiona sekunde anaipost.Mimi nimeona post ikiwa na dk 2. Mungu ambariki kwa kweli






Mimi niliwahi kupata mwakajanaZamu yake siku nyingineee

Kuzuri Sana.Wa
cha bhana
Watu na miguu yenu
.Yaani acha kabisaOoh pole mpendwa Kama Jana vile.


Akina Arnold wanacheza hii movie tunawaona..Predator imetoka mwaka 1987. Hata kufikiriwa kuzaliwa ulikuwa bado. Acha kamba![]()

Pole Aunt Subaru40 days
Mungu ni baba.
You'll be OK. Mungu ni mwema..Yaani acha kabisa
Haya mambo ni magumu mno,nimekuwa kama nimechanganyikiwa.
Asante mama subaruPole Aunt Subaru
Mwanga wa milele uendelee kumuangazia baba![]()
.


Najua relax imetokea Mungu kamhitaji mpendwa wake.Yaani acha kabisa
Haya mambo ni magumu mno,nimekuwa kama nimechanganyikiwa.
Wenge nililonalo linataka kuniuaNajua relax imetokea Mungu kamhitaji mpendwa wake.
Shukuru amekuacha umekua na yapo mambo/elimu alikupa itakayokuongoza.
Maisha ya wew Kama wewe ndo yanaanza bila baba.na kwa uwezo wake utafika tu.

Wenge nililonalo linataka kuniua
Dunia imekuwaje sijui,hadi natamani hata iishie leo Yesu arudi tu.
Hongereni kwakweliKuzuri Sana.
Kuna kautaratibu yaani makazi ya bibi,bamdogo,bamkubwa wote yapo sehemu moja.
Wacha bhanaMwanamke mguu![]()
Wacha bhana
