Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Najua relax imetokea Mungu kamhitaji mpendwa wake.
Shukuru amekuacha umekua na yapo mambo/elimu alikupa itakayokuongoza.
Maisha ya wew Kama wewe ndo yanaanza bila baba.na kwa uwezo wake utafika tu.
Wenge nililonalo linataka kuniua[emoji174]
Dunia imekuwaje sijui,hadi natamani hata iishie leo Yesu arudi tu.
 
Back
Top Bottom