Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenikumbusha mbali!

Niliwahi pitia hali Kama hii
Vidonda vinauma sana hasa wiki ya Kwanza ,usiogope utapona kadiri siku zinavyosonga mbele..hata kama unaona vinawaka moto Sana.
Kuanzia week ya pili utapata nafuu zaidi.

Mungu ameshakuponya,kukuachia uhai ni jambo kubwa mno.
Majeraha na maumivu yataondoka kadiri muda unavyosonga mbele.

Jitahidini kufwata utaratibu wanaokupa wataalamu.

Pole Sana.
AMINA

Akhsante sana mpendwa wangu kwa faraja yako

Ki ukweli vidonda vinauma sana ila hamna namna navumilia kiume

Barikiwa mno Saint Anne
 
AMINA

Akhsante sana mpendwa wangu kwa faraja yako

Ki ukweli vidonda vinauma sana ila hamna namna navumilia kiume

Barikiwa mno Saint Anne
Jikaze wewe mtoto wa kiume.

Vidonda huwa vinauma sana,,hii wiki lazima vikuume,tena sana tu maana vinavunda then vinaanza kupona..lakini mimi naona umeshapona.

Una heri unaweza hata kuchat,mimi macho yote yaliziba,2weeks sioni kabisa na nilikuwa sili,mdomo uliziba..
Usoni nilikuwa siangaliki mara 2.
Miezi mitatu sikutembea.
Lakini leo nipo hivi,you see,naselfika hapa ukiniona huwezi dhani kama nilipitia hayo.


Utakuwa poa tu baada ya kupata Moto wa kutosha hizi wiki.
 
Jikaze wewe mtoto wa kiume.

Vidonda huwa vinauma sana,,hii wiki lazima vikuume,tena sana tu maana vinavunda then vinaanza kupona..lakini mimi naona umeshapona.

Una heri unaweza hata kuchat,mimi macho yote yaliziba,2weeks sioni kabisa na nilikuwa sili,mdomo uliziba..
Miezi mitatu sikutembea.
Lakini leo nipo hivi,you see,naselfika hapa ukiniona huwezi dhani kama nilipitia hayo.


Utakuwa poa tu baada ya kupata Moto wa kutosha hizi wiki.
Duuuuuh hadi nimeogopa mweeeh
 
Jikaze wewe mtoto wa kiume.

Vidonda huwa vinauma sana,,hii wiki lazima vikuume,tena sana tu maana vinavunda then vinaanza kupona..lakini mimi naona umeshapona.

Una heri unaweza hata kuchat,mimi macho yote yaliziba,2weeks sioni kabisa na nilikuwa sili,mdomo uliziba..
Usoni nilikuwa siangaliki mara 2.
Miezi mitatu sikutembea.
Lakini leo nipo hivi,you see,naselfika hapa ukiniona huwezi dhani kama nilipitia hayo.


Utakuwa poa tu baada ya kupata Moto wa kutosha hizi wiki.
NI KWA NEEMA TU MPENDWA
 
Duuuuuh hadi nimeogopa mweeeh
Siku ya kusafisha vidonda nililia kilio kikuu utadhani nimeangikwa msalabani kama Yesu.
Niliapa nitakuja kusaidia wale wote watakaopata maswahibu kama yaliyonikuta.

Ni miaka imepita sasa,

Ila vidonda vinauma aiseeee,tena vya ajalimaana havina mpangilio ,vinahakikisha haulali usingizi kabisa..kuna muda vinapambana kuuma ili mradi tu ulie

Mimi namuelewa sana,
Kuna muda vitamuuma hadi anaweza pata wasiwasi,lakini atapona hataamini, mwenyewe atashangaa.
 
Mgonjwa hebu tupia namba yako tuweke muamala wapole ukakae kiti kirefu wiki ending hii

Hizi pole za maneno matupu zipo tu
Haha mtu chake bhana

Hata hizi pole za maneno matupu nazipokea kwa mikono miwili na zina fariji na kutia tumaini la kupona na kurudi kwenye hali yangu kama zamani mkuu wangu

Akhsante sana mkuu
 
🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🥺🥺🥺🥺Elly pole baba.mamaaaa..unaendeleaje kwa sasa ndugu yangu 😔😔😔
Haha mtu chake bhana

Hata hizi pole za maneno matupu nazipokea kwa mikono miwili na zina fariji na kutia tumaini la kupona na kurudi kwenye hali yangu kama zamani mkuu wangu

Akhsante sana mkuu
Acha maneno weka namba

Ila ngoja niungane na wadau kutoa pole
 
games_drop_tz~p~CRHiNfpraBN~1.jpg
 
Back
Top Bottom