Ungeazima simu tu kwa rafiki au ndugu anayetumia umzawadie
Maisha Ni kupata na kukosa
Nasubiri ya mtandao ninaotumia,huenda nikapata.
Ungeazima simu tu kwa rafiki au ndugu anayetumia umzawadie
Maisha Ni kupata na kukosa
Nasubiri ya mtandao ninaotumia,huenda nikapata.
Kwa Sasa nipo mwenyewe...ila Nimewazawadia rafiki kwenye grp ila bahati haikuwa yao.,wamechelewa.Ungeazima simu tu kwa rafiki au ndugu anayetumia umzawadie


Nashukuru MUNGU naendelea salama/vizuri sana mkuu wanguUnaendeleajee mkuu?
Uko fastaMjep ubarikiwe na Bwana, ukaongezeke na kustawi sana. Nilikuwa naingia kwenye kikao, ghafla naona ndiyo umetuma vocha, nikaingiza fasta, huyo nikazama mkutanoni. Thank youuuu



.Akhsante sana mpendwa wangumwee mwee hadi mwili umesisimka, pole jamani
Aminamkuu pole sanaa.. Mungu akujalie wepesi upone haraka
HongeraaaMjep ubarikiwe na Bwana, ukaongezeke na kustawi sana. Nilikuwa naingia kwenye kikao, ghafla naona ndiyo umetuma vocha, nikaingiza fasta, huyo nikazama mkutanoni. Thank youuuu
Kiroho yupo na wewe/nasi ila kimwili kapotea40 days
Mungu ni baba.
Akhsante sana mkuu
Kiroho yupo na wewe/nasi ila kimwili kapotea
Tumuombee BABA yetu mpendwa aendelee kupumzika kwa amani/salama.
Pole sana mpendwa wangu/wetu Saint Anne


cha bhanaOrigin
Eneo la ukoo.
Our beautiful village.
Kuzuri kama MamtoniView attachment 1849564View attachment 1849565
Yuda una kitambi. Vipande vya pesa ya malipo ya kumsaliti masihi
Uko fasta
Tena kimyakimya
Ilikuwa nizipate mimi,basi tu ni vile situmii huo mtandao..tangu zinatumwa naziona.
Mungu azidi kumbariki brother Mjep.
Hongeraaa
Saint Anne anavyokutamani sasa