Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nikiweka Tena picha hapa nitakuwa sio mimi walahi.
Nimeweka zaidi ya mara 3.
Ndio ujifunze ,Siri ya kuto kupitwa Ni kukodoa macho muda wote.
Unadhani watu wanakodoa macho humu mchana kutwa usiku kucha wanapenda?
Wanajikaza kisabuni tu.
sometime sifanyikazi naperuzi mda wote nisipitwe na matukio 😡😡😡🙄
 
Tahadhari :

Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu.

Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha.
 
Back
Top Bottom