Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,836
daamn..!!Haya vimbau wote tunawatakia asubuhi na weekend njema
Kwanini siku zote hizo hukuniambia kama wewe ni kifaa hivyo dada?
daamn..!!Haya vimbau wote tunawatakia asubuhi na weekend njema
Aaaa ndio unanitisha sasa?Akikataa nitajua la kufanya![]()
sometime sifanyikazi naperuzi mda wote nisipitwe na matukio 😡😡😡🙄Nikiweka Tena picha hapa nitakuwa sio mimi walahi.
Nimeweka zaidi ya mara 3.
Ndio ujifunze ,Siri ya kuto kupitwa Ni kukodoa macho muda wote.
Unadhani watu wanakodoa macho humu mchana kutwa usiku kucha wanapenda?
Wanajikaza kisabuni tu.
nakupa bigupAtakae taka picha yoyote kati ya zile zilizotumwa humu,anistue.
Hii ndio kazi niliyoichagua katika huu uzi,yaani kutunza kumbukumbu.
nakupa bigup
General, kwanini unaturudisha kwenye tbt jamani.!!?Akitikisa ni minyamaa tu..


Haya vimbau wote tunawatakia asubuhi na weekend njema
Nikinywa maji nakuona kwenye glasi.Hivi kwanini muamala hausomi kaka wakati namba unayo?View attachment 1222940
Unajua kujiteteaKugeuka utapambana na depal.
Mimi mpambano wangu nishashindwa
Umenizidi.
Wewe una tumbo dogo na mwili mkubwa.
Mimi dogo kwa sababu ya mwili mdogoView attachment 1223030

.


Ni kweliTatizo kiuno kimechelewa kutumwa
Ile ya juzi ipo Kama ya kisomali hivi waliiona!?
Hannah dadangu kwa heshima yangu naomba unyamaze please![]()



ninyamaze nini tena mbona jana sikusumbua kabisa.JamaniHaya vimbau wote tunawatakia asubuhi na weekend njema