Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haleluya
Brother wala hakuna haja ya kufanya character assessment kupitia huu uzi, utawakosea warembo wa watu.

Waache wateme sumu zao wiki nzima waliteseka nyuzi zisizikuwa na mpango, fikiria mdada wa wa watu kapost picha yake mtu kaichukua kaizoom na kukandia sijui kavaa ndala na maneno mbovu mbovu kibao, lakini anasahau hao ni wadogo zetu ndo wamemaliza masomo au ndo wanaanza hustling za maisha, unaweza kumkosoa kwa kumfata pm au ukamkosoa in a good way lakini si kumbeza jukwaani kumdhihaki ili mradi tu.

Halafu kwenye haya maisha kweli unaweza kumdhihaki mtu kisa viatu sijui kiuchumi hayuko sawa, leo utamcheka kavaa ndala kesho yake unakatatika miguu kwa ajali hata hizo ndala huwezi kuvaa tena.
Haya maisha kuna watu wanajisahau sana hukatazwi kumsifia mwanamke wako offcourse ndo tunavyopendwa kusifiwa n wanaume zetu ila ukinisifia mimi siyo uwaponde wanawake wengine, thats not cool na msukuma wangu kaniambia haipo kwenye katiba ya kiumeni.
 
Nimekumbuka halafu. . Ulijua sana kumvuruga anko wangu wewe.
Nina historia mimi.
Nilimwambia hana hela, pesa ya kulipia atatoa wapi atulie tuu na awe mpole.
.
Kilichofuata akaniambia ananilipia mimi niende. Na bado akanitumia na hela ya uber hiyo Siku nisiteseke.
Alijua kunikomesha mpaka leo nina heshima debe.
 
Back
Top Bottom