Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aah kabisa kwamba sasa umekuwa archangel of light[emoji28][emoji28]nimechekaaa.
Aliona ukondoo wa nje.
Aliona kuacha kujiita dark angel ndio nimeokoka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aah kabisa kwamba sasa umekuwa archangel of light[emoji28][emoji28]nimechekaaa.
Aliona ukondoo wa nje.
Aliona kuacha kujiita dark angel ndio nimeokoka.
Hana mambo mengi bwana anko wangu. We labda tu uwe humtaki
General Mangi ni wakwangu jamani.
Hahahahaaa. Nimekumiss sana ndugu yangu. Twende tukale mishkaki baadae basi. Nakuja mitaa hiyo jioniWe dada ebu acha wizi wako
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Umeamua Sasa kurudi jinsi ulivyokuwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ujue unajua kumtia mtu hasira Hadi anaweza kujibamiza chini
Bado nasubiri muamala.[emoji23][emoji23][emoji23] umekariri shee sikivai kila siku mbona?
General Mangi ni wakwangu jamani.
Mi nilikunywa mara moja tu Juliana nikaona jau.
Heineken ndo mpango
Nikilala nikiamka vita inasonga mbele.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vita ni vita mura no retreat no surrender
Umeshinda best ila umepata mpinzani.. Nimeshindwa kabisa kumuaibisha shetani [emoji30][emoji30][emoji30]Nilikuuliza sijashinda bado?
Nikikaa kwenye huu uzi nakumbuka tuu hiko na siwezi kujizuia kwa kweli.
Na sijui nitasahau lini.
[emoji123][emoji109][emoji109][emoji779][emoji625][emoji419][emoji817] halafu mbona hujanitumia zile tarakimu?
Bora umerudi jamani nilikumiss sananimekumiss sanaaaa.... nimerudi uraiani rasmi maana ni kama nilikuwa kifungoni vile
Hahhaha toto toto [emoji8][emoji8][emoji8][emoji23]
Huwezi nifikia ubonge.Hata mimi kibonge haujaona?
Ninachokupendea haupindishi maneno, nyeupe ni nyeupe tu, no kissing anybody's a$$$.Naanzaje kusahau kirahisi na wakati mwezi mzima huku alikuwa anatusema sisi ni wabovu.
Kwa picha ya demu wake hiyo daah[emoji134][emoji134]siwezi kusahau kwakweli.View attachment 1223242View attachment 1223244
nazunguka juu chin juu chin kwenye huu uzi kumtafuta insta babe akiwa kwenye maeneo yake simuoniii tuuuBora umerudi jamani nilikumiss sana
Mdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254
Mimi ni kama Dada Mwajuma wa mbagala. Uzi usipokuwa na msha msha huwa naiona jf chungu.Na umekua mpole kweli eti
Kumbe hua unafika Mitaa yetu Mbezi ya chini......[emoji6] siku ukipita Juliana nshtue tena Dada[emoji16][emoji16]