



Badae nahisi naweza kwenda live band golden parkHahahahaaa. Nimekumiss sana ndugu yangu. Twende tukale mishkaki baadae basi. Nakuja mitaa hiyo jioni
Mkuu hiyo si tomato hapo?unalala jikoni au?
Mwache achomoe tu....
Hapo anajiandaa kunichomolea betri mimi.








Ninachokupendea haupindishi maneno, nyeupe ni nyeupe tu, no kissing anybody's a$$$.
And yet haukauki kwenye huu uzi, hebu acha turushe picha zetu kwa raha zetu. Hivyo vitisho vyako watumie wakezo msg.Tahadhari :
Sasa ole wako wewe mke wangu wa tatu utume humu picha,yaani hata ukiweka kucha tu ya kidole gumba,nitajua lazima nitakuanika tu.
Maana hiki kilevi chenu cha "Kupenda kusifiwa" kinawazidi nguvu,yaani mnatuma tu mapicha.
Mimi ni kama Dada Mwajuma wa mbagala. Uzi usipokuwa na msha msha huwa naiona jf chungu.
Ila ikipatikana amsha amsha nipo radhi nisile. Napenda viugomvi ugomvi.
Ndio mana nimekuwa mpole.
Dah..Mdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254


mdogo wangu huyoo.. Shetani pita mbali na mimi



Natamani kujua simu gani unatumia dadaUmepiga picha ofisi kwa bosi wako.kesho nakufukuza kazi
Badae nahisi naweza kwenda live band golden park
sema viatu vimechongeka kweli kwa mbeleinsta babe Shunie nakusalimuView attachment 1223245
Insta babe wako unajua pa kumpata ujuenazunguka juu chin juu chin kwenye huu uzi kumtafuta insta babe akiwa kwenye maeneo yake simuoniii tuuu
au nichukue zile za insta nizilete huku![]()
Sioni akijibu mapigo ya iPhone











nasinzia nikikuwaza namelessMi nikilala nakuota ndotoni bae
Cheupe wee. Ni macho yangu au umeanza kunenepa?![]()



Picha ya mdogo wangu ya zamani hiyo ujue ila kama sasa hivi kaanza kunenepa mana jeans zake nyingi hazipitimimi nimeelewa insta babe..... namsalimia pia kwa mara ya tatuMdogo wake shunie anakusalimiaView attachment 1223254
alfu mabrouk alfu mabrouk rangi ya mtume from dubai 
Umoja ni nguvu, kwa pamoja tumemshinda shetani











