cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Yesu wangu
Nina Matege hatari, miguu haina ushirikiano kabisa.



usinichekeshe hapa khaaah, acha uongo wee lolYesu wangu
Nina Matege hatari, miguu haina ushirikiano kabisa.



usinichekeshe hapa khaaah, acha uongo wee lolJamani jamani daaaah,
Nyie kumbe kweli, mimi sikuwahi kulifuatilia na kuvaa bra. Sasa wenye mizigo yetu na shimizi jamani mweeh.
Hivi na uzazi wa mpango hauruhusiwi? Jamani jamani kuna sehemu niliendaga nikamkuta huyo mama, ana watoto wengi, hawajapishana umri na anaendelea kufyatua kila inapowezekana. Ndiyo majirani wakawa wanateta eti hawaruhusiwi kutumia uzazi wa mpango




Hahahah hio hata bila kuridhika utakuwa bonge hadi rahahaijawahi mkataa mtu






wee muongo bhan lol.Browser mm siwezi kutumia aisee.Hata mm Kwa hili wanatukosea
Maana kwenye browser n Keri
Hata siipendi
Ungesema hizo project ni zipi ningejua najibu nini.Nimeelewa hutaki kujibu, ila unasingizia my projects ndio sabb.
My projects zimekuwa kichaka
BTW thank you for reminding me about Jesus.


Hamna sijamzidi..Hahahha mbona unamzidi vingi yamkini wewe ni zaidi yake kiujumla.
Umeidownload![]()

Hamna sijamzidi..
Ila uzuri wa mtu upo machoni pa mtu..amependeza Sana na ninependa namna amepaka wanja .
Ni mkeo?
Nimescreeshot,ninaiuza kwa elfu 10
Sent using Jamii Forums mobile app







Vyuma vimekazaSi umemzidi hayo mahips
Na hapo sura ako hatujaiona pengine una mkimbiza mbali sana
Tunawaweza basi na hizi make up zenu
Mtu anabadirika utasema mwarabu. Huwaga unapaka pia ?
Hapana sio mke wangu ni shemeji wa mbali sana
Acha uhuni na sura ya watu![]()



haya bhana cc.Umeamua cc kutuburudisha kwa photos, woiiiiiiih