Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie kumbe kweli, mimi sikuwahi kulifuatilia na kuvaa bra. Sasa wenye mizigo yetu na shimizi jamani mweeh.

Hivi na uzazi wa mpango hauruhusiwi? Jamani jamani kuna sehemu niliendaga nikamkuta huyo mama, ana watoto wengi, hawajapishana umri na anaendelea kufyatua kila inapowezekana. Ndiyo majirani wakawa wanateta eti hawaruhusiwi kutumia uzazi wa mpango
 
IMG_20210520_105057_7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna sijamzidi..
Ila uzuri wa mtu upo machoni pa mtu..amependeza Sana na ninependa namna amepaka wanja .
Ni mkeo?

Nimescreeshot,ninaiuza kwa elfu 10
Sent using Jamii Forums mobile app

Si umemzidi hayo mahips
Na hapo sura ako hatujaiona pengine una mkimbiza mbali sana

Tunawaweza basi na hizi make up zenu
Mtu anabadirika utasema mwarabu. Huwaga unapaka pia ?


Hapana sio mke wangu ni shemeji wa mbali sana

Acha uhuni na sura ya watu
 
Si umemzidi hayo mahips
Na hapo sura ako hatujaiona pengine una mkimbiza mbali sana

Tunawaweza basi na hizi make up zenu
Mtu anabadirika utasema mwarabu. Huwaga unapaka pia ?


Hapana sio mke wangu ni shemeji wa mbali sana

Acha uhuni na sura ya watu
Vyuma vimekaza
Akitokea mtu anataka kuona naonyesha kwa elfu 10 tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom