Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Aaah kama ibada ni kila siku, hapo lazima ujipange vizuri.
Mavazi si shida sana ninaweza fanikiwa kwenye mavazi ila nikakwama sehemu nyingine hasa mahudhurio ya inada za huko ambalo ndilo jambo muhimu kuliko yote.
Naona tu bado sijasettle kuweza kurudi.
Ratiba zangu kwa Sasa naona zitanibana,nitashindwa kwenda na kasi ya huko maana kila siku lazima kwenda faraghani.
Sent using Jamii Forums mobile app
,kunyoa nywele buku tu,hata Sasa nimenyoa, ila nikakwama sehemu nyingine hasa mahudhurio ya ibada za huko ambalo ndilo jambo muhimu kuliko yote.
la kuchaguliwa mchumba
,kule ukidate tu unakuwa umejiengua..lazima ufwate utaratibu wa kule..japo now kidogo naona wamelegeza,



