Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Kitambo sana aiseAnae tafta Kama mm bac apokee
Hii (girls) View attachment 1790800
Ila kitambo watu walikua wanaandikaKitambo sana aise
Dah.. Kitambo sana hii.. Ukiandikia humu basi wewe ni mtu fulani matawi ya juuAnae tafta Kama mm bac apokee
Hii (girls) View attachment 1790800
Kabisa yaani.
Kwanza kuna mwamba anaitwa KOROE ametoa somo.
Ukiniumiza hakuna kumwachia Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa ajili yako tu crush View attachment 1790428
MweeeNkamu toka umenihaidi utatupia picha huku, umekua kama Masihi na mimi sichoki naisubiria![]()
Kabisa yaani.
Kwanza kuna mwamba anaitwa KOROE ametoa somo.
Ukiniumiza hakuna kumwachia Mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mweee
Mbona nimeweka picha nyingi tu nkamu!
Zimejaa kama utitiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakuwa nakutag nikiweka.Sijaona na hivi naingia mara chache basi nimepitwa na mambo mazuri
Kwanini huamini kama anaweza kukuwezesha?I believe in Jesus kwa maneno kama wengine, but siamini kama anaweza niwezesha kwa haya ninayoyafanya.
He is holy, I am dirty.
Thank you.
Nitakuwa nakutag nikiweka.
Pia ngoja nitafute zilizopo juu nikutag.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni miradi gani hiyo mkuu?Naamini Yesu anaweza kuniwezesha ila naamini pia katika uwezeshaji huo Yesu anaangalia mradi wa muwezeshwaji ni kwa jinsi gani unaleta tija katika Ufalme wa Mbinguni.
Miradi yangu ni kivuruge tu katika Ufalme. Naanzaje kuwezeshwa?
Naamini alikuja kwa ajili ya wadhambi.