NaddySL
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 995
- 5,193
Asa ulitaka upendelewe vyote? Si tusingekaa mjini humu! Nywele wewe , mabastola kama yote! 😂😂😂Yesu wangu
Nina Matege hatari, miguu haina ushirikiano kabisa.
Asa ulitaka upendelewe vyote? Si tusingekaa mjini humu! Nywele wewe , mabastola kama yote! 😂😂😂Yesu wangu
Nina Matege hatari, miguu haina ushirikiano kabisa.
Aaise yaani sura yako haiendani na ujeda.
Asa ulitaka upendelewe vyote? Si tusingekaa mjini humu! Nywele wewe , mabastola kama yote!![]()






Karibu chief tuselfikeHuu uzi kumbe nao unakuwaga mzuri tu hivi..
Karibu chief tuselfikeHuu uzi kumbe nao unakuwaga mzuri tu hivi..
Asante sana chief,Karibu chief tuselfike
Tunataka picha ya English figure!
Ili unisemee hadi nikose raha eeh,ebu pambana na hayo mabuti kwanza😀Tunataka picha ya English figure!
Yes T.ELY mambo!
Kuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"
hapa kuna 0.1% chance ya hili kutokeaKuna jamaa siku moja alipost kwenye mtandao wakijamii (facebook)kuomba ela elfu kumi yeyote mwenye nayo, akajitokeza dada mmoja wakachat akamtumia pesa kumbe jamaa alikua ni tajir alikua anatafuta mtu mwema yule jamaa akamtafuta yule dada na kumzawadia gari na nyumba yenye thaman ya sh mil 50, na akawa msaidizi wa bishara zake . Anyways kwa kufupisha story tu, nina shida ya elfu 50 kwa yeyote mwenye nayo"





