Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Wewe niruhusu niitupie hapa!😁😁😁
Wewe niruhusu niitupie hapa!😁😁😁
🤣🤣🤣🙌
Hivi na sisi wanaume tunaruhusiwa kuwaomba wanaume wenzetu picha?View attachment 1791660

Hakika kabisaah.
Cc naomba nifundishe jinsi ya kufunga PM.
Unafata nn huko wanakokusanya pesa za watu?



😂😂😂Nilikuwa nimeshaandaa picha maalum😂
UtukomeNilikuwa nimeshaandaa picha maalum
![]()









Nenda kwenye setting..Cc naomba nifundishe jinsi ya kufunga PM.
Unafata nn huko wanakokusanya pesa za watu?![]()





Make up mimi sipaki.Si umemzidi hayo mahips
Na hapo sura ako hatujaiona pengine una mkimbiza mbali sana
Tunawaweza basi na hizi make up zenu
Mtu anabadirika utasema mwarabu. Huwaga unapaka pia ?
Hapana sio mke wangu ni shemeji wa mbali sana
Acha uhuni na sura ya watu![]()



Make up mimi sipaki.
Yaani na huu ukimbaombao natoa wapi hips jamani![]()



Nashinda shamba mkuu,make up ya nini?Kwanini usipake ? Unataka upake mpaka ifike siku ya harusi yako.
Hahahha wewe huyo kimbaumbau ? Wewe ndie unayo tena sijui + na matege yale. Usionge kabisaa kuna pich umebeba mtoto unayo ? itume tena tu'label the curved part![]()



,ona napewa sifa si zangu

Ooooh ahsanteeh sana cc, ubarikiwe.Nenda kwenye setting..
Utaona Kuna mahala wameandika
"Start conversation with..
•Members only
•No body
•people you follow.
Hapo unachagua wewe .
Sent using Jamii Forums mobile app
Babuuuh vipi? Acha tu nifunge, maan huwa sipendagi usumbufu.