Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20210520-WA0128.jpg
 
Si umemzidi hayo mahips
Na hapo sura ako hatujaiona pengine una mkimbiza mbali sana

Tunawaweza basi na hizi make up zenu
Mtu anabadirika utasema mwarabu. Huwaga unapaka pia ?


Hapana sio mke wangu ni shemeji wa mbali sana

Acha uhuni na sura ya watu
Make up mimi sipaki.
Yaani na huu ukimbaombao natoa wapi hips jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini usipake ? Unataka upake mpaka ifike siku ya harusi yako.

Hahahha wewe huyo kimbaumbau ? Wewe ndie unayo tena sijui + na matege yale. Usionge kabisaa kuna pich umebeba mtoto unayo ? itume tena tu'label the curved part
Nashinda shamba mkuu,make up ya nini?

Yesu wangu,ona napewa sifa si zangu
Hebu tuma kwanza ya yule dada tuone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom