




wewe umenishinda tabia.

hivyo vidole yaniii 😋 😋 😋Naingia kulala sasa.
Jamani yule aliyesema tunatumia tecno asidhani hatuna simu. Ni vile hatupendi showoff za kishamba.View attachment 1223048
msije mfanya aone jf chungu 😂 😂Haya hayaishi kirahisi. Nabakiza na ya kesho![]()
Wazee wa ku zoom samples za vidole tunasema umekamilika kila idara.Naingia kulala sasa.
Jamani yule aliyesema tunatumia tecno asidhani hatuna simu. Ni vile hatupendi showoff za kishamba.View attachment 1223048
bro your shoe game is insane 🔥 🔥 🔥
Naingia kulala sasa.
Jamani yule aliyesema tunatumia tecno asidhani hatuna simu. Ni vile hatupendi showoff za kishamba.View attachment 1223048


















haya ndio mambo.


Usiku mwema mpendwaHawachi dada kipenzi
Kwa heshima yangu nakuomba utulie .
Nawe pia mamaUsiku mwema mpendwa
Haki cha moto atakiona, msameheni tu.Alisumbua sana.akijiona kiranja wa wachomoa betri.
Na kusema sisi ni wabovu.
Yaani mpaka nisahau hiki kituko alichotupostia sio Leo wala kesho![]()
Kumbe nilikuwa najifaragua tu. Ng'ombe wangu wala hawataenda mnadani Pugu. Na siksi paki ukitaka niko tayari kuachana na hiki kitambi cha kishikaji. Nitatafuta njia mbadala za kufutia tekno yangu. Yu a gojazi wallahi






Ukila unashibaga?Shindano Leo vipi.View attachment 1223003
JF hii imebarikiwa sana aisee. Naamini kuanzia sasa nyuzi za kuponda mabinti wa JF kuwa ni wabaya hawana shape zitakuwa zimekufa rasmi. Ashukuriwe mlozi Mshana Jr kuanzisha uzi huu. Hata wanaotafuta wenza washindwe wenyewe tu. Na hapa unaweza kufuatilia mtu anavyoposti na kujibizana na watu ukapata fununu ya tabia zake na misimamo yake. Kwa neema ya Mungu uzi huu utazaa ndoa aiseeMambo ya tecno.
Nilisharidhika nayo kimbaombao mimiView attachment 1223097



Ndo maana usingizi ulikuwa hauji mpaka nimeibukia bar.Shindano Leo vipi.View attachment 1223003
Shindano Leo vipi.View attachment 1223003