Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amen
JF hii imebarikiwa sana aisee. Naamini kuanzia sasa nyuzi za kuponda mabinti wa JF kuwa ni wabaya hawana shape zitakuwa zimekufa rasmi. Ashukuriwe mlozi Mshana Jr kuanzisha uzi huu. Hata wanaotafuta wenza washindwe wenyewe tu. Na hapa unaweza kufuatilia mtu anavyoposti na kujibizana na watu ukapata fununu ya tabia zake na misimamo yake. Kwa neema ya Mungu uzi huu utazaa ndoa aisee
 
Eti ushamba
Sina uhakika kama haya uliyoyaandika yanahusiana kwa namna yo yote na comment yangu uliyoikwoti. Labda sijaelewa.

JF hapa, kama ilivyo huko mitaani, kuna watu wa kila aina. Hapa tumechangamana watu wa makuzi tofauti, elimu tofauti, uchumi tofauti, exposure tofauti, morals tofauti, mitazamo tofauti...na ukilijua hili basi hakuna kitakachokushangaza hapa. Na mimi naamini utofauti wetu huu ndiyo unaifanya JF kuwa hivi ilivyo. Nilichojifunza hapa ni kuvumiliana tu kwa sababu kamwe hatuwezi kuwa sawa.....

Anyway nimefurahi kusikia kuwa una dume la Kisukuma. Hakuna wanaume wanaojitambua kama Wasukuma; na wao wakipenda basi wamependa. Pamoja na "ushamba" wao lakini Wasukuma ndiyo mpango mzima.
 
Sina uhakika kama haya uliyoyaandika yanahusiana kwa namna yo yote na comment yangu uliyoikwoti. Labda sijaelewa.

JF hapa, kama ilivyo huko mitaani, kuna watu wa kila aina. Hapa tumechangamana watu wa makuzi tofauti, elimu tofauti, uchumi tofauti, exposure tofauti, morals tofauti, mitazamo tofauti...na ukilijua hili basi hakuna kitakachokushangaza hapa. Na mimi naamini utofauti wetu huu ndiyo unaifanya JF kuwa hivi ilivyo. Nilichojifunza hapa ni kuvumiliana tu kwa sababu kamwe hatuwezi kuwa sawa.....

Anyway nimefurahi kusikia kuwa una dume la Kisukuma. Hakuna wanaume wanaojitambua kama Wasukuma; na wao wakipenda basi wamependa. Pamoja na "ushamba" wao lakini Wasukuma ndiyo mpango mzima.
😂😂😂...
Mnajifagilia eeh..
 
Back
Top Bottom