Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Wacha weeeeee
Coz atapanda vilele vya milima yote aijuayo.
Coz atapanda vilele vya milima yote aijuayo.
Shindano Leo vipi.View attachment 1223003
Wewe ndo unamzingua hazard haya unakwama wapi bibie?
kazi ya uumbaji wako either mungu au wazazi wako mmoja wao alifanya weekend uku katulia mpka kukutoa beautiful with brain
Kumbe we shoga unatangaza biashara sio
kwakweli umenikosha wewe mzuri dada angu duh!
mungu ni mwema praise the lord.
video safi simu brand kubwa naliona tunda .Naingia kulala sasa.
Jamani yule aliyesema tunatumia tecno asidhani hatuna simu. Ni vile hatupendi showoff za kishamba.View attachment 1223048






. Dar ukivaa wig fekero na hili joto hamna rangi utaacha uona
Sasa si ampeleke dem wame kunyoa kama mimi tu kuliko kuweka wigi la 8,000 la kuchomachoma.
Mzee baba Pepo itakuwa mbali sana na wewe 🤣🤣🤣Una kashape very romantic![]()
Hahahahahahaha, ngoja nimuombe ruhusa babe
Mtoto una chuchu tamu weweHaya vimbau wote tunawatakia asubuhi na weekend njema