Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Umeshamaliza kubeba chuma?Hahah.. .Muda sana
Duuh!!! Kumbe wengine picha zetu zina symbolize ubabe/ugomvi



Itisheni hapa tuweke pambanoTuitishe kura tuone wenye nyama zetu kama hatujashinda
Nikakuona umepost madude ya kutoshaHizi zilikuwa za kutupia kwenye ule Uzi wetu pendwa wa kilaji....Ila sasa material zote zinaishia humu dah🤣🤣
😆😆😆poa poa mkurugenziNapuyanga tu, break za kwato
.
I'm proud with my age... Kama una miaka 40 ni yako nami nitafika huko akipenda Muumba.
I'm young to yo but I've experienced a lot off stuffs than you.. And certainly u can reach them..










Mbona kama povu jamani, comment yangu haikuwa na ubaya ndani yakeItisheni hapa tuweke pambano
Hahahahahahahah nakwambaje sisi tunabebekaaa popoteila msibani tunakosaga nguo unajua? Ukikamatia dela ni unaenda kufurahisha wafiwa
Mwendo wa khanga tu.
Hao vibonge wanakwambia hawaupendi wembamba
😆😆😆Heineken habari nyingine my dearNikakuona umepost madude ya kutosha
Heineken zinanipaga kiu nikiziona 😂😂
Utani bwana usichukulie serious.Duuh!!! Kumbe wengine picha zetu zina symbolize ubabe/ugomvi![]()











Sawa tafuta uwalete hapaTutafute wadhamini kwanza,,,
Hivi kwanini muamala hausomi kaka wakati namba unayo?View attachment 1222940
Nashangaa ng'ombe 70 wanayeyuka juu juu.huku nilishaanza kujifunza kisukumaUmeghairi tena Nyanda?.
Hizi dana dana zinafanya akimbie sasa.
Nadhani mwenyewe umejionea chombo kilivyo, wewe leta habari za ngoja ngoja halafu mwisho wa siku uanze kuniambia "ningejua"

WanasomaSawa tafuta uwalete hapa
Hakika watu wamebarikiwa huko .
6 pack nazo si haba.
Weka nyingine basi lizarazu.
Weka ya mwisho mwisho tufunge Uzi.


Nyie ndio mmrbarikiwa bana.Gweshela jugwegwePanandi.
Ukweshela?