Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizi zilikuwa za kutupia kwenye ule Uzi wetu pendwa wa kilaji....Ila sasa material zote zinaishia humu dah🤣🤣
Nikakuona umepost madude ya kutosha

Heineken zinanipaga kiu nikiziona 😂😂
 
ila msibani tunakosaga nguo unajua? Ukikamatia dela ni unaenda kufurahisha wafiwa

Mwendo wa khanga tu.

Hao vibonge wanakwambia hawaupendi wembamba
Hahahahahahahah nakwambaje sisi tunabebekaaa popote
 
Hakika watu wamebarikiwa huko .
6 pack nazo si haba.
Weka nyingine basi lizarazu.
Weka ya mwisho mwisho tufunge Uzi.
Nyie ndio mmrbarikiwa bana.

Hizo packs mbona zinatafutwa ndani ya miezi michache tu unakuwa nazo za kutosha tena hata bila gharama.

Sasa nyie hizi figures kwa mtu ambaye sio naturally endowed anazitafuta kwa gharama kubwa kweli.
 
Back
Top Bottom