Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Ahsante kushukuruAsante sana jamani
Ahsante kushukuruAsante sana jamani
Njoo tushinde JF mama maana tushaambiwa hatuna kaziKuna kimbunga kilipita kikanibeba kinanileta.
Kuna watu nilipita kujibu comments zao.
Tatizo watu wanazidi kunipigisha story![]()
Ohoooo hiyo shemeji imetoka wapi utaharibu mamboLizarazu njoo bageshi. Shusha siksi paki zingine shemeji anataka kutukimbia humu![]()




.







Hapo ni anatafutwa mke, mchepuko, side chick, side hen, side ostrich nkArlen mjina wake mgumu kila nikimtag holaaa
Hilo neno nililinasa kichwani....Njoo tushinde JF mama maana tushaambiwa hatuna kazi













Mmhh mdogo wangu mimi mbona sikumbuki kama nimeshawahi kuwa rubani wala kusomea hiyo fani?? Umenianzaje eti??Unabadili gia angani jamani dada
Ona sasaHahahaaa mwaka huo nisingekua hapa jf.
Umri wangu una range 25-27




nikisema katoto unakataaShkamoo dadaMmhh mdogo wangu mimi mbona sikumbuki kama nimeshawahi kuwa rubani wala kusomea hiyo fani?? Umenianzaje eti??
Hivi unadhani naweza kuziacha ng'ombe 70 ziende?
Hivi unadhani naweza kwenda kwa bondia Yule Lizarazu...hunipendi eeh!
Siwezi nikakuangusha...nakumbuka mahusia yako.



oohh hapo sawa fanya hizo ng'ombe zije nyumbani ndugu zako tuondokane na umasikini jamani nilishakuambia mwanaume mwenye hela tu ndiyo shemeji mwanaume asiye na hela huyo ni mume wa dada sasa tafadhali tunahitaji shemeji hatuhitaji mume wa dada sawa eenh??😂😂😂 ila msibani tunakosaga nguo unajua? Ukikamatia dela ni unaenda kufurahisha wafiwaUsijali wembamba ni bora kuliko ubwenyenye.......
Nasubiri povu![]()
I'm proud with my age... Kama una miaka 40 ni yako nami nitafika huko akipenda Muumba.Ona sasanikisema katoto unakataa
oohh hapo sawa fanya hizo ng'ombe zije nyumbani ndugu zako tuondokane na umasikini jamani nilishakuambia mwanaume mwenye hela tu ndiyo shemeji mwanaume asiye na hela huyo ni mume wa dada sasa tafadhali tunahitaji shemeji hatuhitaji mume wa dada sawa eenh??















Haya njoo ijichukulie hilo embe.. ujilie na chumbi kama unaona halijakomaa
Chemchem ishazibaHakitakauka milele lakini