Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie ndio mmrbarikiwa bana.

Hizo packs mbona zinatafutwa ndani ya miezi michache tu unakuwa nazo za kutosha tena hata bila gharama.

Sasa nyie hizi figures kwa mtu ambaye sio naturally endowed anazitafuta kwa gharama kubwa kweli.
Mimi nna figure gani Lizarazu?
Unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa eeh?
 
JF is the only place where we can dare talk openly, besides JF there's no other place where we can confidently express our disgruntlements about this fascistic government.

I personally won't stop to animadvert this reprehensible government and no one will snatch me.

Acha kututisha mzee baba.
Jidai mbabe
 
Na ni mzuri halafu.. rafiki zangu wote niliowaleta huku ni wazuri
Cc
Phenomenal woman
Juicy
Bubbles J we nyau sina hakika sana na ID yako ila
😆😆Ndege wanaofanana ndio huruka pamoja...kwa hiyo sababu wewe si kisu bali ni panga kabisa lazima uwe na marafiki mapanga wenzio
Halafu nilishamuhisi ni nani uliyemmaanisha na ktk hawa nishapata picha japo walau😄
 
Back
Top Bottom