Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mimi nna figure gani Lizarazu?Nyie ndio mmrbarikiwa bana.
Hizo packs mbona zinatafutwa ndani ya miezi michache tu unakuwa nazo za kutosha tena hata bila gharama.
Sasa nyie hizi figures kwa mtu ambaye sio naturally endowed anazitafuta kwa gharama kubwa kweli.
Unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa eeh?






kwa baba na mama nimechoka kutazama flat screen.
