Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

MUNGU wangu
Umeona uniuze kabisa.
Lizarazu, SHIMBA YA BUYENZE naombeni tafsiri hapa tafadhali.
Sayai katika hadithi za Kisukuma ni kale kasungura kajanja kalaghai laghai ambako mara nyingi huwadanganya wanyama wengine na hata binadamu; halafu kanaishia kuwaingiza mjini huku kenyewe kakisepa kiaina. Sina uhakika kama nawe una usayai sayai kiaina
 
Huyu anaponda kupitiliza. Hamnaga mtu mzuri kwake kirahisi.
Siku akisifia mtu hadi watu wengine wanashangaa maana ye hasifiagi kabisa
Sasa tofauti kati ya huyo rafiki yako na mimi ni kwamba huyo rafiki yako anajikubali na anaponda watu ila mimi sijikubali na sipondi watu

Yaani mimi kama mtu ni mzuri namsifia ila kama ni mbaya simpondi huwa nakaa kimya tu maana najua kuna watu wengine wanamuona mzuri
 
Hahahaah.
Kwanza Hadi Sasa sijaona picha yako...unajua natakiwa nikuone kabla ng'ombe hawajaletwa eeh
Nilikata tamaa mazima baada ya kuona ulivyochanganyikiwa baada ya kuona siksi paki za Lizarazu. Mpaka ukaapa na kuhama uzi kabisa kwa sababu eti hakukuwa na kipya cha kuona tena. Acha tu nikomae na hawa ng'ombe. Ikibidi nitawaswaga tu nikawapige mnada pale Pugu
 
Nilikata tamaa mazima baada ya kuona ulivyochanganyikiwa baada ya kuona siksi paki za Lizarazu. Mpaka ukaapa na kuhama uzi kabisa kwa sababu eti hakukuwa na kipya cha kuona tena. Acha tu nikomae na hawa ng'ombe. Ikibidi nitawaswaga tu nikawapige mnada pale Pugu
Jamani.
Hukuona yeye alivyonimwagia sifa kwa kitrump chake matata kile Hadi nikajihisi malaika ,kumbe Ni kimbaombao tu Cha vijijini huku

Nikaona nisiwe mchoyo wa fadhila ,nikamlipa kwa kumsifia haswaa.

Lizarazu ona unataka kupoteza ng'ombe huku.
 
Back
Top Bottom