qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
Yeah nimeconnect na redio loveHizi nyimbo wasikilizia kwenye radio??
Nimechunguza mara zote naona Bluetooth ipo on .
Mbona hata mimi nimeweka takwimu
Ohoo bishana na takwimu mama






Simba bhanaIla kumbuka tu utawala umebadirika na kila utawala mwingine unapoingia Tanzania sharti la kwanza Yanga lazima atandikwe bao kuanzia 4 mpaka 6 na Simba.
Ipo hivyo tangu enzi za utawala wa kwanza wa nchi hii na tawala zilizofuata ilikuwa hivyo, itakuwa hivyo pia chini ya utawala wa mama.
Jiandae kisaikolojia![]()

Umeharibu
aaaaah.Nikiwa kijijin huwa sitembei na ndinga, natumiaga baiskeli, kwahiyo usijar baki tu na chuma chako.nikupe ya kwangu utumie uko me nipe RR nisumbue nayo mjini





Na nimeikubali kwa kweli.Yaan zaidi ya sana![]()




Four different types of Nini mkuu?Generation
View attachment 1750769