Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila kumbuka tu utawala umebadirika na kila utawala mwingine unapoingia Tanzania sharti la kwanza Yanga lazima atandikwe bao kuanzia 4 mpaka 6 na Simba.
Ipo hivyo tangu enzi za utawala wa kwanza wa nchi hii na tawala zilizofuata ilikuwa hivyo, itakuwa hivyo pia chini ya utawala wa mama.
Jiandae kisaikolojia [emoji23][emoji23][emoji14][emoji14]
Simba bhana

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Nimeliona bus bora kwangu kwa safari za Dodoma[emoji2956]
Namiss Dodoma
Screenshot_20210413-074023.jpg


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom