Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila kumbuka tu utawala umebadirika na kila utawala mwingine unapoingia Tanzania sharti la kwanza Yanga lazima atandikwe bao kuanzia 4 mpaka 6 na Simba.
Ipo hivyo tangu enzi za utawala wa kwanza wa nchi hii na tawala zilizofuata ilikuwa hivyo, itakuwa hivyo pia chini ya utawala wa mama.
Jiandae kisaikolojia
Simba bhana

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Nimeliona bus bora kwangu kwa safari za Dodoma
Namiss Dodoma
Screenshot_20210413-074023.jpg


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom