Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Ni kenge au mamba Chief..khaaaa
Ni kenge au mamba Chief..khaaaa
😁😁😁si mapenzi huota popote 😁😁Huyu ndugu yangu simuelew ...kuna siku kanambia amempata gireee yaan kufa kuzikana
Leo anaomba busu kwa huyu wa karma ndo nikawa nauliza ni aka yake au
si mapenzi huota popote
Ila umejua kuharibu dili za watu![]()
Unahitaji nondo😅😅😅Huu uchokoziii![]()
Duh hii ndio habari yake kumbe...Haya mambo magumu sana.
Walimzurumu mtu mazao yake baada ya kumkodishia shamba,wakaja kumruka kuwa hawakumkodishia.
Jamaa naona kawazidi maarifa upande mwingine,hapo wanaenyeka hawajui chochote.




Mzee wa chura ni ndugu wa damu sasa nashangaa unamjaza upepo ...Unahitaji nondo![]()




🤣🤣🤣 Haya samahani baba nisije nikaharibu undugu wenu🤣🤣🤣🤣🤣Unanigombanisha na ndugu yangu
Mimi nmeuliza tu
Ankali hebu nifafanulie tafadhali 🤔Masharti ya mganga kufuta laana za familia
Haya samahani baba nisije nikaharibu undugu wenu
![]()
Dada mkubwa!🤗🤗🤗
Aise ngoja nimtie pancha😁😁Mzee wa chura ni ndugu wa damu sasa nashangaa unamjaza upepo ...![]()
Dada mkubwa!![]()
Wacha bhanaNa bora umeona mda umeshapita angelinima block
Wacha bhana
🤣🤣🤣🤣eti kichwa kibovu..sawa nimeacha.undugu wenu na anko frog naomba uendelee tafadhali😁😁Tuyaache atasusa kunisaidia nikikwama ndugu yangu kichwa kibovu namjua
eti kichwa kibovu..sawa nimeacha.undugu wenu na anko frog naomba uendelee tafadhali
![]()







kiukweli nashukuru😁😁😁😁 lee bhana 🥂kiukweli nashukuru
Usiongeze neno plz ...tujifanye hatujamuongelea gireeeelee bhana
![]()
Hata huyo giree hakuhusika kwenye comments zetuUsiongeze neno plz ...tujifanye hatujamuongelea gireeee