qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
Sawamalkia....ukipata mtu kanicrush let me know
sawa??
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sawamalkia....ukipata mtu kanicrush let me know
sawa??
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
SaaafiiiAaah wapi, Simba damudamu


Dah njugu Mawe sizikubali hapo Nyama ndio saafi Sana

Njuuuguuu looh!natamaaani
Kama kawaida yenu wapenda nyamaDah njugu Mawe sizikubali hapo Nyama ndio saafi Sana![]()








Thubutuuu! Unamdanganya nani eti?Mbeya na Songwe wote ni Yanga
Hadi waongoza nchi wote ni Yangamtatuambia nini
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wewe unamsikiliza zittoThubutuuu! Unamdanganya nani eti?View attachment 1750471
?



Hizi nyimbo wasikilizia kwenye radio??Good night guysView attachment 1750470
Wewe unamsikiliza zitto?
Kwanza juzi kati Mwigulu amesema bungeni inaonyesha jinsi gani mama ana imani na wanayangaView attachment 1750482
Hadi Mabeyo yupo upande wetu mtatuambia nini![]()




Ila kumbuka tu utawala umebadirika na kila utawala mwingine unapoingia Tanzania sharti la kwanza Yanga lazima atandikwe bao kuanzia 4 mpaka 6 na Simba.Wewe unamsikiliza zitto?
Kwanza juzi kati Mwigulu amesema bungeni inaonyesha jinsi gani mama ana imani na wanayangaView attachment 1750482
Hadi Mabeyo yupo upande wetu mtatuambia nini![]()



