qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,739
Sawamalkia....ukipata mtu kanicrush let me know
sawa??
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sawamalkia....ukipata mtu kanicrush let me know
sawa??
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kazuri Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kazuri ako
SaaafiiiAaah wapi, Simba damudamu
Dah njugu Mawe sizikubali hapo Nyama ndio saafi Sana [emoji3]
Njuuuguuu looh!natamaaani
Kama kawaida yenu wapenda nyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah njugu Mawe sizikubali hapo Nyama ndio saafi Sana [emoji3]
Thubutuuu! Unamdanganya nani eti?Mbeya na Songwe wote ni Yanga[emoji23][emoji23]
Hadi waongoza nchi wote ni Yanga[emoji2]mtatuambia nini[emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wewe unamsikiliza zitto [emoji1787]?Thubutuuu! Unamdanganya nani eti?View attachment 1750471
Good night guysView attachment 1750470
Hii!Good night Guys.
Hizi nyimbo wasikilizia kwenye radio??Good night guysView attachment 1750470
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wewe unamsikiliza zitto [emoji1787]?
Kwanza juzi kati Mwigulu amesema bungeni inaonyesha jinsi gani mama ana imani na wanayanga[emoji23][emoji23]View attachment 1750482
Hadi Mabeyo yupo upande wetu mtatuambia nini[emoji1787][emoji1787]
Ila kumbuka tu utawala umebadirika na kila utawala mwingine unapoingia Tanzania sharti la kwanza Yanga lazima atandikwe bao kuanzia 4 mpaka 6 na Simba.Wewe unamsikiliza zitto [emoji1787]?
Kwanza juzi kati Mwigulu amesema bungeni inaonyesha jinsi gani mama ana imani na wanayanga[emoji23][emoji23]View attachment 1750482
Hadi Mabeyo yupo upande wetu mtatuambia nini[emoji1787][emoji1787]