Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20210412-WA0246.jpg
 
Wewe unamsikiliza zitto ?

Kwanza juzi kati Mwigulu amesema bungeni inaonyesha jinsi gani mama ana imani na wanayangaView attachment 1750482
Hadi Mabeyo yupo upande wetu mtatuambia nini
Ila kumbuka tu utawala umebadirika na kila utawala mwingine unapoingia Tanzania sharti la kwanza Yanga lazima atandikwe bao kuanzia 4 mpaka 6 na Simba.
Ipo hivyo tangu enzi za utawala wa kwanza wa nchi hii na tawala zilizofuata ilikuwa hivyo, itakuwa hivyo pia chini ya utawala wa mama.
Jiandae kisaikolojia
 
Back
Top Bottom