Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaaa...acha kabisaaa yuko fastaa
Uko faster Sana kwenye picha dada mkubwa
Binamu miss you!!!!kamwili haka kiukweli sijisifu ila mpk naulizwa nafanya diet ipi wakati nakulaaa Mimi balaaa...sema chaki inanikondeshaa!na nikinenepa sasa!weeee balaaa
Binamu ahsante

Daah hako kamwili hutozeeka mapema teacher
 
Hahaaa...acha kabisaaa yuko fastaaBinamu miss you!!!!kamwili haka kiukweli sijisifu ila mpk naulizwa nafanya diet ipi wakati nakulaaa Mimi balaaa...sema chaki inanikondeshaa!na nikinenepa sasa!weeee balaaa
Kuna kapicha fulani kaTBT kako ulivaa sketi ndefu na kama koti hivi..nimekamiss Sana aiseee.


Kwakweli kamwili kako kazuri,unajitahidi kumaintain...ni wadada wachache Sana wanaweza.
 
Kuna kapicha fulani kaTBT kako ulivaa sketi ndefu na kama koti hivi..nimekamiss Sana aiseee.


Kwakweli kamwili kako kazuri,unajitahidi kumaintain...ni wadada wachache Sana wanaweza.
Nanenepaga Mimi balaaa!!nafika mpk 76!!!sema hivi mwili wangu Mimi kukonda DKK zero tu yaaani nikiwa tu busy nimekonda na kunenepa mimi mgumu sana mpk niridhike haswaaa...na nakua bonge balaaa!!!hapo na 68!
Ile picha ni ya 2017 hivi!
 
Nanenepaga Mimi balaaa!!nafika mpk 76!!!sema hivi mwili wangu Mimi kukonda DKK zero tu yaaani nikiwa tu busy nimekonda na kunenepa mimi mgumu sana mpk niridhike haswaaa...na nakua bonge balaaa!!!hapo na 68!
Ile picha ni ya 2017 hivi!
Aiseee
Naona sasahivi kazi inaendelea mchakamchaka na wanafunzi

68 hapo naona imekaa poa,Hizo 76 mmh ni hatari!!

Sasa dada weka tena kale kapichakazuri kale.
 
Hahaaa...acha kabisaaa yuko fastaaBinamu miss you!!!!kamwili haka kiukweli sijisifu ila mpk naulizwa nafanya diet ipi wakati nakulaaa Mimi balaaa...sema chaki inanikondeshaa!na nikinenepa sasa!weeee balaaa
You are missed too binamu. Kwa kweli ntakulipa huo mwili. Target yangu before I celebrate my 40th birthday.
 
Aiseee
Naona sasahivi kazi inaendelea mchakamchaka na wanafunzi

68 hapo naona imekaa poa,Hizo 76 mmh ni hatari!!

Sasa dada weka tena kale kapichakazuri kale.
Hahaaaaa!!!ngoja ntakutumia dadaa!!
Acha kabisa wanafunzi wananichosha hatari na mambo mengi mnoo!staki kunenepa tena Mimi jamani maana last year nilibongekaa mpk walijua nna mimba watu!
 
Back
Top Bottom