Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Huyo ni Mimi Enzi za ujana











I hope hujabadilika sanaHuyo ni Mimi Enzi za ujana
Hebu wakati unasubiri nine,selfika kwanza.
Nipo njiani nakuja hapo Temeke..
Tutazunguka huko Moro na kisarawe na baadaye tunaenda malizia vileleni Ileje.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app





Ili tuwe tunafuturu wote na kula dafu usiku
Ila sikuelewi, mbona unakuja mwezi wa Ramadhani weye, una nia gani?












nimeku pm
Hebu basi usianze kumfanya aonekane nsyuka
Ngoja aje aone.
Nitajie basi huyo mtu Kalumbu
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app





Mungu anakuonakiasi tu makunyanzi yameanza na unene kidogo
Ngoja aje akute unamsingiziaMkwepu bwana.
Kumbe hivi ndivyo anavyotumbua bata hapa duniani
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
hahahahahahhaha halafu nawaona mna quoteana tuu...hajakuambia yuko dar??
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

Miaka inasongakiasi tu makunyanzi yameanza na unene kidogo
Kama Mimi tu mlivyonisingizia humu siku fulaniNgoja aje akute unamsingizia





Umbea sasa uo

Kama Mimi tu mlivyonisingizia humu siku fulani
Mkwepu Bwana,anaenjoy vinono




malkia....ukipata mtu kanicrush let me knowUmbea sasa uo![]()
Sio kazuri akoIla haka kamchezo nimekapenda![]()