Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Babu naruhusiwa kukusalimia kwa niaba ya Chakorii?Hamjambo humu wadau wa selfika
Nawasalimia kwa jina la Muungano wa Tanzania
Babu naruhusiwa kukusalimia kwa niaba ya Chakorii?Hamjambo humu wadau wa selfika
Nawasalimia kwa jina la Muungano wa Tanzania
Kazi iendeleeHamjambo humu wadau wa selfika
Nawasalimia kwa jina la Muungano wa Tanzania
Ndio Yale sijui general, limited, limited liability na limited liability limited?Partnerships![]()

Mkuu safi,Hamjambo humu wadau wa selfika
Nawasalimia kwa jina la Muungano wa Tanzania
Hahah!Sare sare maua, asiyejua kuchagua, kabila lake mzigua.![]()
Mimi napenda Sana parachichiUmeharibuaaaaah.
Tumeuona mwandiko..Generation
View attachment 1750769
Unataka maombi gani tena jamani![]()
Niombee ili niendelee kuguswa.



Aise ndio Naona ujumbe wako loh...
Kwa kweli waugawanye tu huo mkoa
Poleni kwa yaliyowakuta aisee! Nimegundua kila binadamu aliyekuwa akajielewa ni lazima apitie tukio fulani la aibu maishani mwake kabla hajafa aidha mbele za watu au nyuma za watu lakini hilo ni lazima!
Eehh ndugu yangu maisha yenyewe ndiyo haya haya. Mie nimeamua kusamehe tu na kupotezea and now it is well with with my heart.
😆😆😆natamani nijue nilimjibu nini baba yangu SYB isijekuwa keshanitwanga laana huku maana kichwa chenyewe kibovu hichi😄😄
Basi itabidi uanze kutilia maanani sasa kuwa na wewe ni comedian
Kuna comment yako moja hivi SYB alikuwa amebadili avatar akakuquote ukamuambia airudishe ile ya siku zote. Sasa namna ulivyomuambia (nimesahau) na zile emoji ulizoweka aisee nilicheka sana siku ile nikajisemea tu haki huyu sijui anapuliza kile chenyewe cha Jamaica.
Acha kukaza shingo mkuu.Hatupo sawa viwango vya kiimani.
Naitaji maombi ya kukua kiimani ili na mimi nione simpo tu kutuma picha kama nyinyi.
Ujue nimeselfika hujaona nimefutaaaAcha kukaza shingo mkuu.
Mshana Jr ni verified user lakini bado anaconfidence zote.
Picha anaweka,tena nzimanzima.
Wewe unaogopa nini?
TobaaaUjue nimeselfika hujaona nimefutaaa




Dada lao!😁😁😁Hahaaaa!!!poleee....!!!View attachment 1751114