Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Hizi kasheshe zilipotea kipindi fulani😁
Hizi kasheshe zilipotea kipindi fulani😁
Ilikuwa tamu sanatamuuuuh
Haha kuna uwezekano kabisa wa kuwazaa maana ni ishu ya kigenetic hiyo. Yani usiombe wawe watundu au lialia utakoma😅😅 mimi napenda wawe wa kike na kiume.Mamangu anamapacha kwahiyo na mimi nikae kimkakati sio.kwenye ukoo wetu kuna uhaba wa watoto wa kike..natamani kuja kufyatua vipacha vya kike😁😁.ila ile shughuli mama aliyokuwa anaipata kipindi kile...kwakweli bwana asimame
Nafufukaje wakati sijafa we mtoto! Pilau huenda nilikula Ila sijafufuka na bwana Yesu.Mara moja moja kuwa kimya sio mbaya Chief.natumai ulifufuka na bwana Yesu na pilau pia ulikula ya kutosha![]()

Ngoja nijiandae kisaikologia aise.Haha kuna uwezekano kabisa wa kuwazaa maana ni ishu ya kigenetic hiyo. Yani usiombe wawe watundu au lialia utakoma😅😅 mimi napenda wawe wa kike na kiume.
Kumbe hadi waganga sometimes huwa mnapata muda wa kuenjoy maisha😀 Doctor unakunywa imported wines aisee kilingeni kunalipaa😉Nahisi nazeeka sasaView attachment 1744693
Karibu dear, habari ya UE ?ulipotea humu ndiyo mambo ya zima moto nini😂Yai hilo tyuuh![]()
Sina hamu jinsi ulivyonitelekeza visiwani, Kama ulikuwa unaogopa kesi ya mauaji ningekupa wakili kabisa na ushahidi ningeutoa mahakamani 😀. Kwamba nilitaka mwenyewe damu changa 😂🙈🏃🏻Naona umeamua kuamini kwa mtakatifu.😁😁kweli maisha yanaenda kasi sana
Nilikuja hapo nikagonga papaaa la nyumba mpka basi..ikabidi nirudi nilikotokaSina hamu jinsi ulivyonitelekeza visiwani, Kama ulikuwa unaogopa kesi ya mauaji ningekupa wakili kabisa na ushahidi ningeutoa mahakamani 😀. Kwamba nilitaka mwenyewe damu changa 😂🙈🏃🏻
Mtakatifu mwenyewe nawasiwasi naye, isije kuwa mwaka mzima anafunga na kuomba huku akiacha suala muhimu lililotuunganisha. Mambo ya kupimiwa huduma napenda basi!😅🙈
Umeshindwa kunihudumia mgeni miye hadi natafuta msaada kwa majirani.Wachaaaa😁😁
Tatizo unakuja usiku mnene unakuta nishapiga Hennessey zangu unakuta nimeshalala.Nilikuja hapo nikagonga papaaa la nyumba mpka basi..ikabidi nirudi nilikotoka
Njoo piemu


😅😅😅😅Ngoja nijiandae kisaikologia aise.
Nawajua mapacha nimewalea wadogo zangu nawaelewa sana ingawa sasa wanamagirlfriend huko basi wanaona sikufanya kazi😆😆😆visungura vile vilinisumbua mno..
Aisee mapacha ni watamu sana kama si wasumbufu