Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

..
20210406_175709.jpg
 
Mamangu anamapacha kwahiyo na mimi nikae kimkakati sio.kwenye ukoo wetu kuna uhaba wa watoto wa kike..natamani kuja kufyatua vipacha vya kike😁😁.ila ile shughuli mama aliyokuwa anaipata kipindi kile...kwakweli bwana asimame
Haha kuna uwezekano kabisa wa kuwazaa maana ni ishu ya kigenetic hiyo. Yani usiombe wawe watundu au lialia utakoma😅😅 mimi napenda wawe wa kike na kiume.
 
Haha kuna uwezekano kabisa wa kuwazaa maana ni ishu ya kigenetic hiyo. Yani usiombe wawe watundu au lialia utakoma😅😅 mimi napenda wawe wa kike na kiume.
Ngoja nijiandae kisaikologia aise.
Nawajua mapacha nimewalea wadogo zangu nawaelewa sana ingawa sasa wanamagirlfriend huko basi wanaona sikufanya kazi😆😆😆visungura vile vilinisumbua mno..

Aisee mapacha ni watamu sana kama si wasumbufu
 
Naona umeamua kuamini kwa mtakatifu.😁😁kweli maisha yanaenda kasi sana
Sina hamu jinsi ulivyonitelekeza visiwani, Kama ulikuwa unaogopa kesi ya mauaji ningekupa wakili kabisa na ushahidi ningeutoa mahakamani 😀. Kwamba nilitaka mwenyewe damu changa 😂🙈🏃🏻

Mtakatifu mwenyewe nawasiwasi naye, isije kuwa mwaka mzima anafunga na kuomba huku akiacha suala muhimu lililotuunganisha. Mambo ya kupimiwa huduma napenda basi!😅🙈
 
Sina hamu jinsi ulivyonitelekeza visiwani, Kama ulikuwa unaogopa kesi ya mauaji ningekupa wakili kabisa na ushahidi ningeutoa mahakamani 😀. Kwamba nilitaka mwenyewe damu changa 😂🙈🏃🏻

Mtakatifu mwenyewe nawasiwasi naye, isije kuwa mwaka mzima anafunga na kuomba huku akiacha suala muhimu lililotuunganisha. Mambo ya kupimiwa huduma napenda basi!😅🙈
Nilikuja hapo nikagonga papaaa la nyumba mpka basi..ikabidi nirudi nilikotoka
 
Back
Top Bottom