cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Kila ukisinzia alarm inapiga kichwani huku ikisema"unachokitafuta utakipata"![]()



wee cc hapan lol, hapa mbavu cna mweeeeehKila ukisinzia alarm inapiga kichwani huku ikisema"unachokitafuta utakipata"![]()



wee cc hapan lol, hapa mbavu cna mweeeeeh


tamuuuuhTz tuna amiri jeshi mwanamke tayari.
Hopefully atashughulikia na mitima yenu![]()






Kuna mtu majuzi kaniulizaga hivi serengeti lite nayo ni bia? Mtu anaenda bar kunywa lite.🤔😆😆😆Nahisi nazeeka sasaView attachment 1744693
Yai hilo tyuuhKaribu salimeti, hii ni homemade mkono wangu mwenyewe
View attachment 1744353
View attachment 1744355




Wazaz wangu wamezaa twins mara 2, mara ya pili walizaa 3 twins bahat mbaya m1 alichukuliwa na jah pindi alipozaliwa tyuuh, wamebaki 2.Mapacha ni wasumbufu kweli hata kama ni wawili wakiwa bado ni wadogo unakoma ila wakishakuwa raha sana.
Mahandsome wa huu uzi mnatunyanyasa jamanivigezo na masharti kuzingatiwa!




Haaa basi wewe umeniibia mimiHii mbona umetoa kwenye dp yangu WhatsApp![]()



Hiii huyu vipi tena jamaniwivu tu na ungejua kilivo kitamu usingesema. Mkeo mwenyewe hana chura kama sisi na vyakula vyake vitakua vibaya kama hivo?
pua yako







We acha tu!wee cc hapan lol, hapa mbavu cna mweeeeeh






Aseeeeeh ilikua hatari na nusu.We acha tu!
Mambo yalikuwa mazito Sana![]()
Sehemu gani hii?Nipo kijijini huku, nafaidi mahindi mabichi tyuuh,View attachment 1744752View attachment 1744754
Afe kipa afe beki slides lazima ziisheAseeeeeh ilikua hatari na nusu.

SongeaSehemu gani hii?
Ahsante cc, karibu sana kwetu.Oh
Kuzuri![]()