Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mtakatifu ndo mzuri.mpe nafasi atoe msaada 😆😆😆😆
Mambo ya kukaririshwa Zaburi na Matendo ya Mitume sijui kama nitaweza.
Labda aniambie kila siku tuwe tunasoma kitabu cha Wimbo Uliobora, hapo nitaweza😀😀🙈.
Otherwise bora nirudi Zanzibar tu 🙊
 
Mambo ya kuamshwa usiku wa manane kwa ajili ya maombi ya kuliombea Taifa kila siku sina hakika kama nitaweza. Unless akubali awe mke wa nne🙊😅.

Kumbuka bado sijakupa talaka ujue, sio useme hivi wajanja wakaniwahi 😜😜😀
Hebu wacha niwahiwe hukooo...kizuri kula na nduguyo😁😁

Sasa hao ndo wazuri wa kusali usiku kama bado hujajua
 
Mambo ya kukaririshwa Zaburi na Matendo ya Mitume sijui kama nitaweza.
Labda aniambie kila siku tuwe tunasoma kitabu cha Wimbo Uliobora, hapo nitaweza😀😀🙈.
Otherwise bora nirudi Zanzibar tu 🙊
Unaona sasa unavyokata tamaa mapema😁😁😁unaniangusha ujue
 
Back
Top Bottom