Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,198
Karibu boss.Nikitoka Zanzibar moja kwa moja Mbeya, get prepared kupokea ugeni [emoji3]
Mweyezi Mungu akitoa kibali tutaonana.
Karibu boss.Nikitoka Zanzibar moja kwa moja Mbeya, get prepared kupokea ugeni [emoji3]
Hiii huyu vipi tena jamani😀 wivu tu na ungejua kilivo kitamu usingesema. Mkeo mwenyewe hana chura kama sisi na vyakula vyake vitakua vibaya kama hivo?😬 pua yakoHivi vyakula vinavyopikwa na vimbaombao ni vibaya sana!😖😖😖
Si bora hata tungalikana tu mkuu maana sijapata mualiko wowote, ila si mbaya next year Mungu akipenda ntakualika mapemaa😀Mambo vipi mpendwa.....
Hata mwaliko wapi mkuu nilikuwepo tu hata sikuwa na ramani yoyote....
Unaweza kuta hata haunizidi bana.Duh[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nakula kidogo ila si kama hivyo.
Nakuzidi kidogo[emoji23][emoji23]Unaweza kuta hata haunizidi bana.
Unalala saa4?Ukilala saa 4
Unaamka saa ngapi?
Kukombolewa nafurahiNimekombolewa na yesu
Nimekua mtoto wake
Kombooooooo lewa komboooo leeewa
Mimi mwana wake wake
Nakombolewa na damu yake yesuu
Mimi mwana wake kwelii[emoji445]
Ooh yesu wewe ni mungu
Ooh wewe ni baba[emoji445]
Ukombozi ni nguvu yako baba
Ni mfalme wa ajabu
Na sasa najifurahisha katika neema yake[emoji445]
Continue[emoji42]
😆😆😆😆Unalala saa4?
Amka uteseke[emoji1787]
😔😔😔😔😔Apo ndo unabubujikwa na machozi.Kukombolewa nafurahi
Kupita lugha kutamka
Kulionyesha pendo lake
Nimekuwa mtoto wake.
Sisi wengine tunateseka mida hii..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Usingizi unanipunguzia stress sana,
Nikilala na hasira asubuhi naamka na hekima.
Najua taji imewekwa[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]Apo ndo unabubujikwa na machozi.
Lala mapemaSisi wengine tunateseka mida hii..
Wacha wenye hela walale mapema[emoji38]
Watoto wahini kulala ili mkue.Lala mapema
Usipende kuchelewa kulala labda kwa sababu muhimu mno, unachelewa misele ya ndotoni[emoji38]