Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Karibu boss.Nikitoka Zanzibar moja kwa moja Mbeya, get prepared kupokea ugeni![]()
Mweyezi Mungu akitoa kibali tutaonana.
Karibu boss.Nikitoka Zanzibar moja kwa moja Mbeya, get prepared kupokea ugeni![]()
Hiii huyu vipi tena jamani😀 wivu tu na ungejua kilivo kitamu usingesema. Mkeo mwenyewe hana chura kama sisi na vyakula vyake vitakua vibaya kama hivo?😬 pua yakoHivi vyakula vinavyopikwa na vimbaombao ni vibaya sana!😖😖😖
Si bora hata tungalikana tu mkuu maana sijapata mualiko wowote, ila si mbaya next year Mungu akipenda ntakualika mapemaa😀Mambo vipi mpendwa.....
Hata mwaliko wapi mkuu nilikuwepo tu hata sikuwa na ramani yoyote....
Unaweza kuta hata haunizidi bana.Duh
Mimi nakula kidogo ila si kama hivyo.
Kukombolewa nafurahiNimekombolewa na yesu
Nimekua mtoto wake
Kombooooooo lewa komboooo leeewa
Mimi mwana wake wake
Nakombolewa na damu yake yesuu
Mimi mwana wake kwelii
Ooh yesu wewe ni mungu
Ooh wewe ni baba
Ukombozi ni nguvu yako baba
Ni mfalme wa ajabu
Na sasa najifurahisha katika neema yake
Continue![]()
😆😆😆😆Unalala saa4?
Amka uteseke![]()
😔😔😔😔😔Apo ndo unabubujikwa na machozi.Kukombolewa nafurahi
Kupita lugha kutamka
Kulionyesha pendo lake
Nimekuwa mtoto wake.
Sisi wengine tunateseka mida hii..
Usingizi unanipunguzia stress sana,
Nikilala na hasira asubuhi naamka na hekima.

Najua taji imewekwaApo ndo unabubujikwa na machozi.
Lala mapemaSisi wengine tunateseka mida hii..
Wacha wenye hela walale mapema![]()
Watoto wahini kulala ili mkue.Lala mapema
Usipende kuchelewa kulala labda kwa sababu muhimu mno, unachelewa misele ya ndotoni![]()