Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kwamba unaratibu mambo yote?
Yaani mida kama hii mimi ndio kunakucha
Ni kupuliza Moto hadi asbh

Mimi hadi njiani natembea nasoma,hadi nafika karibia na chumba Cha mtihani ndio naweka samare yangu kwenye ndoo ya taka.
Kiujumla sijawahi ridhika kukaa bila kusoma aisee..
Hiyo ni tangu naanza kusoma hadi namaliza.
 
Sasa usiku wa manane ndo mzuri.wew deal na mtakatifu hana shida
Mambo ya kuamshwa usiku wa manane kwa ajili ya maombi ya kuliombea Taifa kila siku sina hakika kama nitaweza. Unless akubali awe mke wa nne🙊😅.

Kumbuka bado sijakupa talaka ujue, sio useme hivi wajanja wakaniwahi 😜😜😀
 
Ratiba
IMG-20210406-WA0154.jpg
 
Back
Top Bottom