cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,268
Yaan mno.Mapacha wana raha yake kwakweli.
Yaan mno.Mapacha wana raha yake kwakweli.
AmeeeeenIpo siku nitakuja panapo uzima.
Hahah acha kabisaah yaan, UE ilikua poaah, zimamoto tulikua kazini haswaaaaah.Karibu dear, habari ya UE ?ulipotea humu ndiyo mambo ya zima moto nini![]()




Sasa usiku wa manane ndo mzuri.wew deal na mtakatifu hana shidaTatizo unakuja usiku mnene unakuta nishapiga Hennessey zangu unakuta nimeshalala.
Next time uje Bara tu 😋
Mtakatifu ndo mzuri.mpe nafasi atoe msaada 😆😆😆😆Umeshindwa kunihudumia mgeni miye hadi natafuta msaada kwa majirani.
Next time nitakutumia flight tu uje Bara lakini sio Mimi kukufuata 😜
Mimi nilikuwa katibu wa zimamotoHahah acha kabisaah yaan, UE ilikua poaah, zimamoto tulikua kazini haswaaaaah.![]()

Weeee usiniambie bhana 😁Njoo piemu![]()
Msaada ataupata kwa Mungu Baba mwenyezi.Mtakatifu ndo mzuri.mpe nafasi atoe msaada![]()
Vilikuwa vidunchu kweli😁😁😁😅😅😅😅
Eti visungura. Kila la kheri.
😅😁😁😁muone...😂😂😂😂 Huenda mwandiko, ni kweli!!!
Ndani ya Pipa la Majini
😆😆😆😆Msaada ataupata kwa Mungu Baba mwenyezi.
Yaani mida kama hii mimi ndio kunakuchakwamba unaratibu mambo yote?




Mambo ya kuamshwa usiku wa manane kwa ajili ya maombi ya kuliombea Taifa kila siku sina hakika kama nitaweza. Unless akubali awe mke wa nne🙊😅.Sasa usiku wa manane ndo mzuri.wew deal na mtakatifu hana shida