Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Hivi kaugali haka
unashiba kweli?Hivi kaugali haka
unashiba kweli?Nimekubali. Uko vizuri. Asante hata kama ni kwa macho hivi inatoshaKaribu salimeti, hii ni homemade mkono wangu mwenyewe
View attachment 1744353
View attachment 1744355
Siku ukaribie sasa! 😉 ntafurahi kumpikia Salimeti 😛Nimekubali. Uko vizuri. Asante hata kama ni kwa macho hivi inatosha
Naomba uselfike dada.
financial servicesSiku ukaribie sasa!ntafurahi kumpikia Salimeti
![]()
Hi T Ely! Happy Easter Monday 😍 hata kamualiko tu hamna rafiki? Haya
Mambo vipi mpendwa.....Hi T Ely! Happy Easter Mondayhata kamualiko tu hamna rafiki? Haya
Nikitoka Zanzibar moja kwa moja Mbeya, get prepared kupokea ugeni 😀Vipi boss!!?!
Hivi vyakula vinavyopikwa na vimbaombao ni vibaya sana!😖😖😖Karibu salimeti, hii ni homemade mkono wangu mwenyewe 😀😀
View attachment 1744353
View attachment 1744355
Kabisa 🙂Hivi kaugali hakaunashiba kweli?
Hahahah em anzisha bas na mm nifuateSelfika kidogo basi boss wangu.


😅😅Hivi suala la kuzaa mapacha huwa ina flow kwa mwanaume kweli mfano wale fraternal baba anahusika kweli?Kaka yangu alipata kama hao inamaanisha na mimi ninaweza pia... Vipi sasa tuongee![]()
Mapacha ni wasumbufu kweli hata kama ni wawili wakiwa bado ni wadogo unakoma ila wakishakuwa raha sana.Mimi huwa natamani wawili.
DahHivi vyakula vinavyopikwa na vimbaombao ni vibaya sana!😖😖😖
Wakiwa wadogo kasheshe Yake ni hatariMapacha ni wasumbufu kweli hata kama ni wawili wakiwa bado ni wadogo unakoma ila wakishakuwa raha sana.
raha Sana.Hivi hadi new year bado unasumbua kuweka pichaHahahah em anzisha bas na mm nifuate![]()
