donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Jamani😭😭🙆Tz tuna amiri jeshi mwanamke tayari.
Hopefully atashughulikia na mitima yenu![]()
Dah namimi nikipata hawa ni safi kabisa naua ndege 3 kwa jiwe moja sema kuwakuza hawa ni utachezeshwa gwaride mpaka ukome.
Sijambo sana, naona ukimya kama wote tu.
😄😄😄 now yes!!Ushaamka tayari? ...![]()
Honestly nilikula mpaka nikashiba ndii ☺☺ Ila wenzangu walitisha zaidi 😀😀Utafikiri umekula kweli kumbe sahani yako si ajabu umedonoa donoa tu kama ilivyo kawaida yako. Yaani kuna wakati naangaliaga jinsi unavyogusa gusa vyakula tu na kuviacha mpaka roho inaniuma yaani![]()
Kaka yangu alipata kama hao inamaanisha na mimi ninaweza pia... Vipi sasa tuongeeDah namimi nikipata hawa ni safi kabisa naua ndege 3 kwa jiwe moja sema kuwakuza hawa ni utachezeshwa gwaride mpaka ukome.




Hahaha, lazima ujipange mkuuDah namimi nikipata hawa ni safi kabisa naua ndege 3 kwa jiwe moja sema kuwakuza hawa ni utachezeshwa gwaride mpaka ukome.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!😋🚶🚶🚶🚶
Nikaribishe siku moja nije nionje mapishi yako soulimetiAcha wivu na vyakila vya Lizzy![]()

Karibu salimeti, hii ni homemade mkono wangu mwenyewe 😀😀Nikaribishe siku moja nije nionje mapishi yako soulimeti![]()
Vipi boss!!?!Jamani![]()
Mimi huwa natamani wawili.Dah namimi nikipata hawa ni safi kabisa naua ndege 3 kwa jiwe moja sema kuwakuza hawa ni utachezeshwa gwaride mpaka ukome.
Kaka yangu alipata kama hao inamaanisha na mimi ninaweza pia... Vipi sasa tuongee![]()




