Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ofcourse wapo watu wanaonisifia kuwa mimi ni mzuri maana unajua uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamaji yawezekana mimi nikijitazama sijioni mzuri ila wapo ambao wakinitazama wananiona mzuri siwalaumu na wakinisifia huwa najibu tu asante ila moyoni najua kabisa siyo kweli

Mfano pia mimi hapa nilipo najiona mnene wa kutisha hadi nafanya jitihada kupungua ila kuna watu wananiambia eti mimi mbona siyo mnene wa kutisha yaani eti unene wangu ni wa kawaida tena ndiyo mwanamke anavyotakiwa kuwa wakati mwenzao natamani kupungua ikiwezekana niwe kama moja kabisa sasa wakiniambia vile huwa naitika tu ila akilini mwangu nawaza kuwa lazima nifanye jitihada nipungue mimi sipendi unene kabisa
uwe kama moja tena jameni 🙆‍♂️ 🙆‍♂️ 😂😂😂
ila hiyo ni kwa sababu unajilinganisha na wengine...jilinganisha na wewe mwenyewe ndio itapendeza zaidi mfano kwenye hilo la kupunguza mwili
 
Ila Kuna kauli sijaipenda
Hiyo ya tecno Aiseee...Mara picha zinatoka vibaya...Sasa si Ni zao na wameridhika nazo ndio maana wakapost.

Kutumia iPhone kusimfanye mtu amdharau mtumiaji wa Samsung infinix au tecno...Ni priority tu jamani...hatuwezi kulingana.

Pia uzuri wa mtu upo machoni pa mtu... mambo ya kuanza kuponda wadada wa watu bila sababu za msingi sio uungwana.
Kama girlfriend wako Ni malaika kwako isiwe sababu ya wewe kuwakandamiza wasichana wengine na kuona hawafai...kuna wanaume wanaowaona wanafaa.
Na nyie wadada muache kuponda girlfriends za watu jamani lol
Mmezidi na nyie....jifunze kupunguza maneno mdomoni.
Ulimi huponza kichwa.

Pia mtu kukaa muda wote humu sio Kama Yuko useless au Hana kazi.
Kazi Ni kazi,haijalishi kubwa au ndogo zote Ni kazi.
Acheni kuona watu hopeless kisa wanashinda humu...kila mtu na priority zake...wengine jf Ni kama rafiki kwao.
It's a matter of choice &priority.
Kuna watu wapo humu nawajua Wana kazi na hela zao za maana...lakini hata siku moja hutawakuta wakikashfu watu

Jifunzeni kuongea na watu vema.
Hii jf Ina Watu wengi,waaminifu ,wema,wazuri...
Kupitia hii unaweza tengeneza undugu ujamaa na urafiki.

Tudumishe upendo,tafuteni Sana kuwa na amani na watu wote.
Heshima Ni kitu Cha bure
Jifunzeni kuongea lugha nzuri.
Ukijibu vizuri ama kukaa kimya hutakatika mkono Wala kichwa.

Samahani kwa nitakaowakwaza.
Ni maoni yangu tu.
 
Ila Kuna kauli sijapenda
Hiyo ya tecno Aiseee...Mara picha zinatoka vibaya...Sasa si Ni zao na wameridhika nazo ndio maana wakapost.

Kutumia iPhone kusimfanye mtu amdharau mtumiaji wa Samsung infinix au tecno...Ni priority tu jamani...hatuwezi kulingana.

Pia uzuri wa mtu upo machoni pa mtu... mambo ya kuanza kuponda wadada wa watu bila sababu za msingi sio uungwana.
Kama girlfriend wako Ni malaika kwako isiwe sababu ya wewe kuwakandamiza wasichana wengine na kuona hawafai...kuna wanaume wanaowaona wanafaa.
Na nyie wadada muache kuponda girlfriends za watu jamani lol

Pia mtu kukaa muda wote humu sio Kama Yuko useless au Hana kazi.
Kazi Ni kazi,haijalishi kubwa au ndogo zote Ni kazi.
Acheni kuona watu hopeless kisa wanashinda humu...kila mtu na priority zake...wengine jf Ni kama rafiki kwao.
It's a matter of choice &priority.
Kuna watu wapo humu nawajua Wana kazi na hela zao za maana...lakini hata siku moja hutawakuta wakikashfu watu

Nifunzeni kuongea na watu vema.
Hii jf Ina Watu wengi,waaminifu ,wema,wazuri...
Kupitia hii unaweza tengeneza undugu ujamaa na urafiki.

Tudumishe upendo,tafuteni Sana kuwa na amani na watu wote
Volume ipo sawa kabisa. Wise words
 
Back
Top Bottom