Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Yaaani.
Sema watu wembamba wana uhaya wa asili



Sema watu wembamba wana uhaya wa asili




Elementi za kihaya kwenye post hii![]()




Elementi za kihaya kwenye post hii![]()
My pleasureNiko poa mrembo
Kipo kidogo kinanisaidiaga kufutia TECNO yanguVipi kwani na wewe ulishafuga kitambi??



Duu haya yameanzia wapi tena?Jamaa unaongoza kukosoa wanawake humu jukwaani nikajua unamiliki kifaa cha ukakika kumbe sura ya nyani,pua zimetanuka mno,domo sasa ana ujamaa na Diamond.
Naenda kuwashikia wingu huko mlimani.
Nimegundua humu wavuta bangi Ni wengi Sanaukiwemo wewe
![]()










Mtakuja kuona na vifua vya baba zenu nyie ohooNikuone basi hata kifua tu roho yangu ifarijike![]()



Hahahaha jeshi si lilikuwepo hata miaka ya 90 mama??
Kucha chafu yaani, amshauri awe msafi.Hizo ndiyo kucha za mrs perfect??
uwe kama moja tena jameni 🙆♂️ 🙆♂️ 😂😂😂Ofcourse wapo watu wanaonisifia kuwa mimi ni mzuri maana unajua uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamaji yawezekana mimi nikijitazama sijioni mzuri ila wapo ambao wakinitazama wananiona mzuri siwalaumu na wakinisifia huwa najibu tu asante ila moyoni najua kabisa siyo kweli
Mfano pia mimi hapa nilipo najiona mnene wa kutisha hadi nafanya jitihada kupungua ila kuna watu wananiambia eti mimi mbona siyo mnene wa kutisha yaani eti unene wangu ni wa kawaida tena ndiyo mwanamke anavyotakiwa kuwa wakati mwenzao natamani kupungua ikiwezekana niwe kama moja kabisa sasa wakiniambia vile huwa naitika tu ila akilini mwangu nawaza kuwa lazima nifanye jitihada nipungue mimi sipendi unene kabisa

nimetoka kumwambia mtu hivyo hivyo hapo juu..Za kawaida sana siku hizi...ila watoto wakali bado wapo haswa wale wanaosoma banking and finance
Kweli eeh?? Basi ngoja nimuambie afanye mpango na ndiyo utume picha zako full sasa my wizzo to be!!
Njoo hapaa kaa ukomaze ubongoKwaherini ..
Humu kimbunga kinaweza kurudi muda wowote.
Brother mshana usipulize dawa zako tafadhali....
Naenda kushika wingu huko....ukipuliza tutachanganya mambo.
![]()
ninakuelewa perfectly bi dadaWallah niko single. Japo sio single single
Volume ipo sawa kabisa. Wise wordsIla Kuna kauli sijapenda
Hiyo ya tecno Aiseee...Mara picha zinatoka vibaya...Sasa si Ni zao na wameridhika nazo ndio maana wakapost.
Kutumia iPhone kusimfanye mtu amdharau mtumiaji wa Samsung infinix au tecno...Ni priority tu jamani...hatuwezi kulingana.
Pia uzuri wa mtu upo machoni pa mtu... mambo ya kuanza kuponda wadada wa watu bila sababu za msingi sio uungwana.
Kama girlfriend wako Ni malaika kwako isiwe sababu ya wewe kuwakandamiza wasichana wengine na kuona hawafai...kuna wanaume wanaowaona wanafaa.
Na nyie wadada muache kuponda girlfriends za watu jamani lol
Pia mtu kukaa muda wote humu sio Kama Yuko useless au Hana kazi.
Kazi Ni kazi,haijalishi kubwa au ndogo zote Ni kazi.
Acheni kuona watu hopeless kisa wanashinda humu...kila mtu na priority zake...wengine jf Ni kama rafiki kwao.
It's a matter of choice &priority.
Kuna watu wapo humu nawajua Wana kazi na hela zao za maana...lakini hata siku moja hutawakuta wakikashfu watu
Nifunzeni kuongea na watu vema.
Hii jf Ina Watu wengi,waaminifu ,wema,wazuri...
Kupitia hii unaweza tengeneza undugu ujamaa na urafiki.
Tudumishe upendo,tafuteni Sana kuwa na amani na watu wote