Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Calm down mkuu usifukuzane na upepo this is jf ni fake plus fakero.
Picha nyingi zitumwazo ni fake kama zilivyo id fake
Ahsante, Inakuaje unanitukania Mama yangu kisa picha niliyoweka kuna uhusiano gani wa hiyo picha na mama yangu?? Why usini attack mimi kama mimi...

Wakati mwingine unapotaka kuchangia wazo lako epuka sana kuhusisha wazazi, ningekuona una hekima na busara kama usingetanguliza hilo tusi hapo juu...

Pili, hiyo picha sio ya Mtu wangu nilitaka kupima mentality zenu humu ndani na nimewapatia vizuri tu najua mnatamani sana kumfahamu, ila kwa kukusaidia jua ni mzuri wa wastani na anajitambua vyema tofouti na nyie humu ndani...
 
Elementi za kihaya kwenye post hii
Hahah nimemjibu mwenzenu huko juu najua mnatamani kunifahamu na pia kufahamu ninapokojolea ila ndio hivyo tena haiwezi tokea...

Niwe Mkweli tu, yule sio mtu wangu ni picha nilichukua mtandaoni huko na nilipost kimakusudi nisike mtakuja na hoja gani na ninmegundua kitu kwenu, nitabaki nacho moyoni siwezi weka hapa kuleta mgongano kwenye nyuzi za watu...

Kuhusu Itel, ni mmoja wapo ya simu zangu ndogo ninazotumia kwa sababu inakaa na charge muda mrefu, na kuhusu smartphone natumia simu yenye bei tu sina haja ya ku prove hilo kwa sababu wengi wenu najua mnatumia tecno tu ndio maana picha zenu haziko clear kiasi hicho...

Na kingine, kuhusu kazi wala sina haja ya kujisifia sehemu ninazoingia hapa Nchini itachukua muda pengine koo/familia yenu kuja kuingia, na nimegundua humu wadada wengi hamna kazi zinazoeleweka ndio maana mko online 24/7 mjitahidi kufanya kazi pengine mtaepuka hii psychology ya kushinda mtandaoni masaa yote hayo...

Kuhusu mama watoto wangu sijui hata kama umemsogelea kielimu, kiuchumi, kifikra n.k... Jua tu yuko X100 ahead of you...

NB: Ukitaka picha zaidi za huyo mdada naweza kukupa jina ukaenda kumtazama huko mtandaoni..
 
Wewe utabaki kuwa kielelezo bora kwa aina ya wanawake wenye akili na hekima zao.
Sitakusahau wakati flani nikiwa ninashambuliwa bila sababu na wenye akili zao...ulituliza moto kwani nilichokuwa nakiwaza kukifanya "shetani anajua" kwani najijua mwenyewe nilivyo na hasira kwa wapumbavu...ubarikiwe sana bila kumsahau kipenzi CUTE B
Nimegundua hamkuielewa movement yangu humu,,, mi ndo kapeace,,,
 
Hahah nimemjibu mwenzenu huko juu najua mnatamani kunifahamu na pia kufahamu ninapokojolea ila ndio hivyo tena haiwezi tokea...

Niwe Mkweli tu, yule sio mtu wangu ni picha nilichukua mtandaoni huko na nilipost kimakusudi nisike mtakuja na hoja gani na ninmegundua kitu kwenu, nitabaki nacho moyoni siwezi weka hapa kuleta mgongano kwenye nyuzi za watu...

Kuhusu Itel, ni mmoja wapo ya simu zangu ndogo ninazotumia kwa sababu inakaa na charge muda mrefu, na kuhusu smartphone natumia simu yenye bei tu sina haja ya ku prove hilo kwa sababu wengi wenu najua mnatumia tecno tu ndio maana picha zenu haziko clear kiasi hicho...

Na kingine, kuhusu kazi wala sina haja ya kujisifia sehemu ninazoingia hapa Nchini itachukua muda pengine koo/familia yenu kuja kuingia, na nimegundua humu wadada wengi hamna kazi zinazoeleweka ndio maana mko online 24/7 mjitahidi kufanya kazi pengine mtaepuka hii psychology ya kushinda mtandaoni masaa yote hayo...

Kuhusu mama watoto wangu sijui hata kama umemsogelea kielimu, kiuchumi, kifikra n.k... Jua tu yuko X100 ahead of you...

NB: Ukitaka picha zaidi za huyo mdada naweza kukupa jina ukaenda kumtazama huko mtandaoni..
Wacha weee baada ya makavu umeamua kukanusha sio demu wako..
Hivi sio wewe comments za nyuma ulikuwa unatunanga tunapenda kufake maisha na kupost picha za mtandaoni?
Hauchomoki Leo. Uwe unaweka akiba za maneno wakati mwingine inasaidia sana.
Haya screenshot hapo ulipoitoa hiyo picha post.
Asee unakojolea sehemu ya hovyo ndio maana unamaumivu na wadada wa jf na bila kusahau huwa anakulisha mavi mabichi. Akate kucha.
 
Huyo mdada kanikera sana mkuu, najua wanatamani kunifahamu sema ndio hivyo hawawezi, na pia hivi karibuni kumezuka ka mtindo baada ya kuleta lile tangazo la kazi la kutafuta mwanadada aliesomea Engineering niliweza fungua PM yangu na nikasahau kuifunga kama hapo mwanzo....

Nimekuwa nikifuatwa na wadada wenye ID mpya mpya wakinichombeza wanadhani mimi ni mwepesi kiasi hicho kutoa namba zangu nimeishia kuwatazama na kuachana, wanatumia mbinu za zamani sana...

Halafu nimekuja gundua wachangiaji wengi especially wadada ni kama vile hawana kitu cha ziada cha kuwaweka busy, muda wote naona wapo online, halafu cha maana wanacho discuss hakuna...
Emu nyamaza nawe utakuja kujichanganya bure 😂😂😂😂
 
Huyo mdada kanikera sana mkuu, najua wanatamani kunifahamu sema ndio hivyo hawawezi, na pia hivi karibuni kumezuka ka mtindo baada ya kuleta lile tangazo la kazi la kutafuta mwanadada aliesomea Engineering niliweza fungua PM yangu na nikasahau kuifunga kama hapo mwanzo....

Nimekuwa nikifuatwa na wadada wenye ID mpya mpya wakinichombeza wanadhani mimi ni mwepesi kiasi hicho kutoa namba zangu nimeishia kuwatazama na kuachana, wanatumia mbinu za zamani sana...

Halafu nimekuja gundua wachangiaji wengi especially wadada ni kama vile hawana kitu cha ziada cha kuwaweka busy, muda wote naona wapo online, halafu cha maana wanacho discuss hakuna...
Kuwa online ndo kazi yetu mkuu..Bora uwaache ukafanye kazi zako za maana. Kuendelea kuwepo hapa inaonyesha kuwa huna tofauti na wao.
 
Wacha weee baada ya makavu umeamua kukanusha sio demu wako..
Hivi sio wewe comments za nyuma ulikuwa unatunanga tunapenda kufake maisha na kupost picha za mtandaoni?
Hauchomoki Leo. Uwe unaweka akiba za maneno wakati mwingine inasaidia sana.
Haya screenshot hapo ulipoitoa hiyo picha post.
Asee unakojolea sehemu ya hovyo ndio maana unamaumivu na wadada wa jf na bila kusahau huwa anakulisha mavi mabichi. Akate kucha.
Jamani me huyu nishamsoma muda tu Jana baada ya kukwambia amnunulie bi Dada REMOVER nikabadilishiwa mada juu kwa juu ' mtoto wa singida aishiwi utamu na vbla bla ikabidi nilike tu then nikatulia.


My dia ili sio lengo LA Uzi wa Mshana Jr emu achana nae
 
Huyo mdada kanikera sana mkuu, najua wanatamani kunifahamu sema ndio hivyo hawawezi, na pia hivi karibuni kumezuka ka mtindo baada ya kuleta lile tangazo la kazi la kutafuta mwanadada aliesomea Engineering niliweza fungua PM yangu na nikasahau kuifunga kama hapo mwanzo....

Nimekuwa nikifuatwa na wadada wenye ID mpya mpya wakinichombeza wanadhani mimi ni mwepesi kiasi hicho kutoa namba zangu nimeishia kuwatazama na kuachana, wanatumia mbinu za zamani sana...

Halafu nimekuja gundua wachangiaji wengi especially wadada ni kama vile hawana kitu cha ziada cha kuwaweka busy, muda wote naona wapo online, halafu cha maana wanacho discuss hakuna...


Heey Cardio maamboo,

Sometimes we reach our limit of being tolerated or humiliated its allowed to spit our anger, nakuelewa.

Well, I don't know you but at least I have hints....

Just take it easy, enjoy your day, have fun and let no one grab your smile.

Take a sip and kiss, let love lead.

Shida yangu chochote nnachosema najikuta kinaishia kwenye Mahaba tuu...

Matata K.
 
Back
Top Bottom