Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo skunk ni kama ile kwenye weed?
Kuna kitu kinaitwa " skunk beer". Bia inapoteza ladha kwa kupigwa na mwanga wa jua, uv light.

Inatokea zaidi kwa beer za chupa, na chupa za kijani ndio zinaathirika zaidi. Beer za kopo ni ngumu kupata hiyo kitu.

Kama hizo imported beer ndio zaidi unaweza pata hizo mambo.

Sema piga monde mama, muda ndio huu.
 
Heey Cardio maamboo,

Sometimes we reach our limit of being tolerated or humiliated its allowed to spit our anger, nakuelewa.

Well, I don't know you but at least I have hints....

Just take it easy, enjoy your day, have fun and let no one grab your smile.

Take a sip and kiss, let love lead.

Shida yangu chochote nnachosema najikuta kinaishia kwenye Mahaba tuu...

Matata K.
That's my Kasie. Busara za kumwaga
 
Wewe utabaki kuwa kielelezo bora kwa aina ya wanawake wenye akili na hekima zao.
Sitakusahau wakati flani nikiwa ninashambuliwa bila sababu na wenye akili zao...ulituliza moto kwani nilichokuwa nakiwaza kukifanya "shetani anajua" kwani najijua mwenyewe nilivyo na hasira kwa wapumbavu...ubarikiwe sana bila kumsahau kipenzi CUTE B
I am humbled.
Barikiwa jirani.
 
Back
Top Bottom