Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haswaaaa!
Huyu si yule alifungua uzi sijui wadada wa jf wachfu, sijui kucha chafu akapost na picha ya kucha zimepakwa rangi tena jelly nzuri tuu rangi ya kike ya pink akasema huyo dada mchafu?
Nikajisemea kama zile kucha zina uchafu basi mpenzi wake ni malaika , siamini nilichokiona kwa kweli. Ndio maana siamini wakosoaji wa mitandaoni. Kashfa nyingi mitandaoni kumbe hamna kitu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nilicheka mie Jana lakin uongo mbaya niliamua kujizuia tu kwa kiwango cha flyover, nikakumbukaaaa nikasema Aloooo kweli nyani hawajai kuona Ku***le


Funika kombe babe mwanaharamu apite 😂
 
unakosea sana kutojikubali aisee..
Kama wewe ulivyo na vigezo vya uzuri ndivyo na kila mtu alivyo na vyake.
Wewe hujikubali Ila Kuna watu huko ambao unawapagawisha si kidogo ujue yawezekana bila hata wewe kujua
Ofcourse wapo watu wanaonisifia kuwa mimi ni mzuri maana unajua uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamaji yawezekana mimi nikijitazama sijioni mzuri ila wapo ambao wakinitazama wananiona mzuri siwalaumu na wakinisifia huwa najibu tu asante ila moyoni najua kabisa siyo kweli

Mfano pia mimi hapa nilipo najiona mnene wa kutisha hadi nafanya jitihada kupungua ila kuna watu wananiambia eti mimi mbona siyo mnene wa kutisha yaani eti unene wangu ni wa kawaida tena ndiyo mwanamke anavyotakiwa kuwa wakati mwenzao natamani kupungua ikiwezekana niwe kama moja kabisa sasa wakiniambia vile huwa naitika tu ila akilini mwangu nawaza kuwa lazima nifanye jitihada nipungue mimi sipendi unene kabisa
 
Mr perfect hivi si ni wewe uliwekaga uzi hapa jf ukimsema mdada wa jf tena ambae kucha zake zimepakwa rangi na ni safi kabisa!!!!!
Vipi hizi kucha za mkeo?


Kweli nyani haoni kundule!!!
Cardiovascular
.
IMG_20191003_093127_369.jpeg
 
Back
Top Bottom