miminimama tulishalimaliza hili.. Tusonge mbele tafadhaliSasa huyu na pua ya Demiss wanatofauti gani? Ulimsakama sana demiss kama vile unadate na malaika kumbe na yeye pua panaaa baya.
Kweli eeh?? Basi ngoja nimuambie afanye mpango na ndiyo utume picha zako full sasa my wizzo to be!!I'm very fucking single.
Kaka ako tukipendana atakushuru sana kumpa mwanamke kama mimi
Weweee. Kuna kisu kukuzidi wewe kweli huko juu? Sema tu mi sina siksi paki wallahiKuna visu huko juu.
Wengine sisi Ni wasindikizaji tu humu![]()



Na ukimbaombao huu nakuwaje kisu!?Weweee. Kuna kisu kukuzidi wewe kweli huko juu? Sema tu mi sina siksi paki wallahi![]()








.

Nipo Kaka ake japo nilijaribu kuufuatilia huu uzi nikaona kila nikija alfajir umesonga nikaupotezea.
Vp ushajirusha nikuonepo?
Umekuwa mkorofi sanahapana kabisa
Hauonekani kiurahisi, hadi uwe na macho ya rohoniNataman na mm nikuone uzur wako
Afadhali wembamba tumefikiriwaza kiuno ndio bomba








Hallelujahwee subiri surprise.... Utabadili maneno yako haya
Huu ndiyo uanaume kamanda. Kuwa na kifua!Anyway ngoja nikae kimya.