Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weweee. Kuna kisu kukuzidi wewe kweli huko juu? Sema tu mi sina siksi paki wallahi [emoji16][emoji16][emoji16]
Na ukimbaombao huu nakuwaje kisu!?
Acha matusi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Wenye six packs kina Lizarazu visu vyao vipo kule juu[emoji1787][emoji1787]
 
Wapendwa mliokwazana hebu someni hii tafadhali... Imenipa tafakuri jadidi... Inafaa mno kuzingatia
IMG_20191003_125426.jpeg
 
Naona hapa Uzi ulienda kusikojulikana...ukachepuka njia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana Jr Kaka vipi ulizidisha kupuliza dawa Nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jamani tupieni picha tusafishe macho...maisha yenyewe haya haya
 
Naona hapa Uzi ulienda kusikojulikana...ukachepuka njia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana Jr Kaka vipi ulizidisha kupuliza dawa Nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jamani tupieni picha tusafishe macho...maisha yenyewe haya haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna chemistry formula ilikataa kidogo ila nshaweka mambo sawa sasa
 
Naona hapa Uzi ulienda kusikojulikana...ukachepuka njia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana Jr Kaka vipi ulizidisha kupuliza dawa Nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jamani tupieni picha tusafishe macho...maisha yenyewe haya haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]punguza bangi mdogo wangu
 
Naona hapa Uzi ulienda kusikojulikana...ukachepuka njia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana Jr Kaka vipi ulizidisha kupuliza dawa Nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jamani tupieni picha tusafishe macho...maisha yenyewe haya haya
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom