Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mi nasifia sana jamani. Rafiki zangu washaniambiaga mi sio kipimo kizuri cha kuongelea uzuri. Wanasema mi nasifia kila mtu
Hahahaha mimi sisifiagi kila mtu aise maana siwezi kuwa mnafiki yaani nikikuambia wewe ni mzuri ujue nimekuona mzuri kweli yaani hiyo compliment inakuwa imetoka moyoni hata Saint anne anajua hili
 
Siku hizi wanasoma sana watu wa mikoani na wengi wametoka kidato cha sita..tofauti na zaman zilikua zinasoma pisi zinazotokea maofisini zenye diploma zao zinakuja kusaka degree,,basi palikua na balaa pale,toto linashushwa kwenye geti ndogo pale na ndinga kalii...mguu kashausugua mwenge huko unang'aa kweli kweli halafu kanyuka umin wa suti
nimetoka kumwambia mtu hivyo hivyo hapo juu..
viwango vinazidi pungua
Siku hizi wana vaa madela tu kama wazazi
 
Ila Kuna kauli sijapenda
Hiyo ya tecno Aiseee...Mara picha zinatoka vibaya...Sasa si Ni zao na wameridhika nazo ndio maana wakapost.

Kutumia iPhone kusimfanye mtu amdharau mtumiaji wa Samsung infinix au tecno...Ni priority tu jamani...hatuwezi kulingana.

Pia uzuri wa mtu upo machoni pa mtu... mambo ya kuanza kuponda wadada wa watu bila sababu za msingi sio uungwana.
Kama girlfriend wako Ni malaika kwako isiwe sababu ya wewe kuwakandamiza wasichana wengine na kuona hawafai...kuna wanaume wanaowaona wanafaa.
Na nyie wadada muache kuponda girlfriends za watu jamani lol

Pia mtu kukaa muda wote humu sio Kama Yuko useless au Hana kazi.
Kazi Ni kazi,haijalishi kubwa au ndogo zote Ni kazi.
Acheni kuona watu hopeless kisa wanashinda humu...kila mtu na priority zake...wengine jf Ni kama rafiki kwao.
It's a matter of choice &priority.
Kuna watu wapo humu nawajua Wana kazi na hela zao za maana...lakini hata siku moja hutawakuta wakikashfu watu

Jifunzeni kuongea na watu vema.
Hii jf Ina Watu wengi,waaminifu ,wema,wazuri...
Kupitia hii unaweza tengeneza undugu ujamaa na urafiki.

Tudumishe upendo,tafuteni Sana kuwa na amani na watu wote.
Heshima Ni kitu Cha bure
Jifunzeni kuongea lugha nzuri.
Ukijibu vizuri ama kukaa kimya hutakatika mkono Wala kichwa.
Mbona magazeti tena!!
Mie siku zote naamini kimya ni jibu sahihi
 
Back
Top Bottom