Selfika na JF: Snap it. Show it

Anaitwa baharia mchomoa betri wa huku jf.

Naomba nitoke kwenye huu Uzi.
Baharia wapi huyu koko tu, kwenye msafara wa mamba hata kenge utawakuta, hakuna kitu kinanikera kama mwanaume kujishaua mbele za watu hususani mbele za wanawake sijui ndiyo kujitafutia umaarafu, tena anajifanya wa matawi ya juu nyau kweli huyu, eti kujinadi mwenye vitu vizuri ni ujinga sana mbaya zaidi ana dharau za kama za mademu,
 
Mkuu ulikata tamaa mpaka ulitaka kuji murder ? Life is too precious to hold on dont kill yourself for cheap reasons
 
Hahahaa. Nitafutieni tu mume. Bata zangu mie sio za gharama maana nalipiwa kila kitu hata msione wivu sio hela yangu ile
. Unene unapungua mwaya. Nakimbia nipungue kidogo. Sema sipendi wembamba pia
 
Mi nasifia sana jamani. Rafiki zangu washaniambiaga mi sio kipimo kizuri cha kuongelea uzuri. Wanasema mi nasifia kila mtu
 
Mbona unatushusha hivyo dear?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…