Naona unajitutumua kwelikweli kwa movenment uliyoifanya Rafiki yangu, wewe jua nilikugundua muda tu, nikaona nikuweke karibu zaidi ili baadae nikukamate vizuri.
They say
" Keep your friends close and your enemies closer" Ndio nilichofanya na nimefanikiwa kuwapoteza 100%.
Naona nilivyokuwa nakuchangamkia ukaona ndio umenikamata hasa mimi
Cardiovascular hata ningekufuata PM mimi sio mjinga kiasi hicho nikurushie picha ya mtu wangu, na ile picha niliweka kimakusudi nione mnavyofunguka na mmefunguka hasa ambacho ndio kitu nilichokuwa nataka.
Just a reminder picha niliyoweka haina uhusiano wowote na mimi ukitaka jina la huyo mdada niliyoweka nitakupatia ukamchunguze vizuri best..