madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,498
- 2,925
Hahahaha samahan my dadaAm your sista
Hahahaha samahan my dadaAm your sista
Mi najua kuhusu ya Moro & Dar... kuhusu Mbeya nilikuwa sijui kwa kweli😂😂Mmhh labda Mzumbe ya Moro au Dar maana mimi nimesoma ya Mbeya wazuri wanahesabikakwangu mimi lakini
ilo paja mbona nimelipenda sana?Ya muda huu huu... tukikitana mtaani fanya kama hunijui View attachment 1222214View attachment 1222215
Sasa nafikiri hizo zingine zimekaa hapa kwa muda wa kutosha acha nizitoe kwa sababu za kiusalama.Wacha wee
Hembu kwa faida yangu rudia Tena kutupia hicho kidevu tuone![]()
Safi bro. Sura yangu ya kiume ati!
😀😀😀😀 Nipo Kaka ake japo nilijaribu kuufuatilia huu uzi nikaona kila nikija alfajir umesonga nikaupotezea.
Ayeeeeeee twin chibonge 😍😍😍😍😍😍
Naomba kuona ya kwako puliiizz?😀😀😀😀 Nipo Kaka ake japo nilijaribu kuufuatilia huu uzi nikaona kila nikija alfajir umesonga nikaupotezea.
Vp ushajirusha nikuonepo?
Usisiseme kwa nguvu 😂😂usinambie hujawai ingia mle ndani?Tatizo nishaondoka huko.
Usijali nitakupa mwenyeji.
Halafu huwezi amini..kukaa kwangu kote Dom hata bungeni sipajui![]()
Doooh!! Huwa sina upenzi kabisa wa kupiga picha Mkuu.Naomba kuona ya kwako puliiizz?
Usijali. Wengine tuna sura za baba zetu.Hahahaha samahan my dada
😄😄Mi Sina mbwembwe hata ya kidole tu chanitoshaDoooh!! Huwa sina upenzi na kupiga picha Mkuu.
Hivyo yabidi niwe naangalia tu za wengine mpaka uzi utakapoishia.