Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ubarikiwe kwa kuuchangamsha na kuupamba uzi wetu,, nimeona mapicha picha kama yote nikajisemea ihiiiiiiiiii sipitwi,,

Una rangi nzuri, na mwili mzuri uupunguzepo, (navyojitia mama ushauri sasa), kingine itabidi tukufanyie kampeni tukupe mume hizi bata zako zinatuumiza roho ......Hahahaha karma kashaanza ikishindikana mi ntamalizia

Wapendwa leo nina kazi nzito tutaonana jioni, goodmorning

Nb; msifute picha mpaka nimegonga like
Imeshapitishwa hiyo
 
Mi najua kuhusu ya Moro & Dar... kuhusu Mbeya nilikuwa sijui kwa kweli
Ila ulipaswa useme kwa Mbeya wazuri 'tulikuwa tunahesabika' usijiache nje
Nani kasema?? Mie mwenyewe wale wale tu ndiyo maana nasema wazuri "walikuwa wanahesabika" lakini uzuri unatofautiana kati ya mtu na mtu maana mimi binafsi hadi mwanamke mwenzangu nimuone kama ni mzuri basi nimempitisha kwenye chujio hasa

Yaani sifa nilizoziweka za mimi kusema kwamba huyu mwanamke kweli ni mzuri hata mimi sina hizo sifa ndiyo maana hata mimi sijihesabii kama ni mzuri na wala hata siku moja hauwezi nikuta najisifia kuwa eti mimi ni mzuri yaani sijawahi kujikubali!!
 
Back
Top Bottom