Endelea tu kusogea Hadi cive ikiwezekana ng'ong'ona kabisa
Nilishaondoka kitambo huko. .napambana na Hali yangu mtaani
Nenda katalii chimwaga.
haya college mate umenikumbusha several years ago mambo ya ng'ox/ujasi, those were my hoods. Habari za cafeteria zilinishindaKabisa mkuu nasikia chuo kina watoto wazuri kile balaa!!product za ifm zinajulikana tu
baada ya kuikamilisha 'project' ya jana umesahau na leo lini😆🤣gud morning JF.. Hivi Leo ni furahiday?
IFM na yeye?. Mi niko late twentieth boo. Mwakani 30yrs seme hapo ndo mwisho wangu wa kukua
Hahahaha tupo wengi mbonamwanamke asie na mapichapicha mengi kwenye simu zama hizi ni kiumbe adimu sana
Ah memory card kwenye simu zinasababisha viruses tuhaiingizi memo card?
😆😆 mbona nasikia hata mzumbe visu vipo jameni?Kabisa mkuu nasikia chuo kina watoto wazuri kile balaa!!
Sisi wengine tuliosoma Mzumbe tunacomment wapi??
Ubarikiwe kwa kuuchangamsha na kuupamba uzi wetu,, nimeona mapicha picha kama yote nikajisemea ihiiiiiiiiii sipitwi,,Hii ya kulalia wandugu. Kaka angu Mshana buku kumi langu kesho lisukumie kwneye namba yangu ileView attachment 1222276
Hongera sanaHahahaha tupo wengi mbona
😄😄kweliAh memory card kwenye simu zinasababisha viruses tu
Morninggud morning JF.. Hivi Leo ni furahiday?
. It's Thursday sir, jana tulihofu kukupoteza Mshana Jr mambo ya 7 round 6x6 tumepoteza mabaharia wengiKazi nzito!! Haya kazi njema boss.Ubarikiwe kwa kuuchangamsha na kuupamba uzi wetu,, nimeona mapicha picha kama yote nikajisemea ihiiiiiiiiii sipitwi,,
Una rangi nzuri, na mwili mzuri uupunguzepo, (navyojitia mama ushauri sasa), kingine itabidi tukufanyie kampeni tukupe mume hizi bata zako zinatuumiza roho ......Hahahaha karma kashaanza ikishindikana mi ntamalizia
Wapendwa leo nina kazi nzito tutaonana jioni, goodmorning
Nb; msifute picha mpaka nimegonga like
Haloo muraa kama hapo ndio sehemu inakojolea, acha na mimi niwe mganga muraa. Waganga mnafaidi bhanaThanks JF... Natoweka hewani kwa muda... Kwasababu wanazojua mabaharia woteView attachment 1222133


acha basi.. Hakuna mpambano wa vile kati ya Me na Ke, mimi naendelea kukusubiri ujueNilikuchenga aisee mpambano mgumu
Mmhh labda Mzumbe ya Moro au Dar maana mimi nimesoma ya Mbeya wazuri wanahesabikambona nasikia hata mzumbe visu vipo jameni?
Hata hivyo ifm ilikuwa zamani bana



kwangu mimi lakiniDuuh.. Kumbe JF ni zaidi ya tuichukuliavyo


!!