Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi sijui popote zaidi ya chuo na stand.
Hata huko msalato kwenye nyama choma sijawahi Kwenda.
Mipango na St John's nimeenda Mara 1 Napo ilikua kanisani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ukinambia Rudi pekeyako Wala siwezi kufika
🤣🤣🤣🤣aiseee
 
Uchawi upo jamani[emoji23][emoji23]..uchawi wa kibudha wa mshana.
Tangu saa 1 asubuhi hadi Sasa nipo humu.
Kesho sirudi humu..
Nilishakamilisha Uzi huu kwa picha ya mtu fulani Karma
😂😂😂Kuna wenzio wakisema hivi hivi na wakaishia kuja kurudi robo saa baadae..
Alichofanya mshana kwenye huu Uzi si poa kabisa!
 
Back
Top Bottom