Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,906
Mh handsome yupi huyo mbona sijammanyaNiko na handsome wa mtaa wako wa zmaani
Mh handsome yupi huyo mbona sijammanyaNiko na handsome wa mtaa wako wa zmaani
AsanteKaribu love
wengine sie wapenzi wa minofu jameni huwezi kaa ukatisha kwetu😄Natisha![]()
Haki vile nimekuzidi miaka kama kumi na ushee hiviSio rahisi
haya ndo mateso bila chuki😩😩😍😍😍❤️❤️Ya muda huu huu... tukikitana mtaani fanya kama hunijui View attachment 1222214View attachment 1222215
Hivi umeolewa?? Kaka yangu anatafuta mke naomba kuwa wifi yangu!!Hii ya kulalia wandugu. Kaka angu Mshana buku kumi langu kesho lisukumie kwneye namba yangu ileView attachment 1222276
Yaani acha tu Saint anne kadata na kifua cha Lizarazu aiseSaint Anne kwisha habari yake kwa siksi paki za ngosha. Mpaka anahama na uzi mazima kabisa. Huyu ngosha ashindwe mwenyewe tu kwa kweli![]()
🤣🤣🤣🤣aiseeeMimi sijui popote zaidi ya chuo na stand.
Hata huko msalato kwenye nyama choma sijawahi Kwenda.
Mipango na St John's nimeenda Mara 1 Napo ilikua kanisani.
Ukinambia Rudi pekeyako Wala siwezi kufika
kama hivi ulivyo hujipendi Sasa ukianza jipenda itakuwaje😂😂We sio bahili niamini mimi. Mimi mpaka sijipendi kwa ubahili wangu. Labda kwa sababu sina hela![]()
Dah.. Three hours ago.... PoaHii ya kulalia wandugu. Kaka angu Mshana buku kumi langu kesho lisukumie kwneye namba yangu ileView attachment 1222276
😂😂😂Kuna wenzio wakisema hivi hivi na wakaishia kuja kurudi robo saa baadae..Uchawi upo jamani..uchawi wa kibudha wa mshana.
Tangu saa 1 asubuhi hadi Sasa nipo humu.
Kesho sirudi humu..
Nilishakamilisha Uzi huu kwa picha ya mtu fulani Karma
product za ifm zinajulikana tuIFM na yeye?. Mi niko late twentieth boo. Mwakani 30yrs seme hapo ndo mwisho wangu wa kukua
Good morningThanks JF... Natoweka hewani kwa muda... Kwasababu wanazojua mabaharia woteView attachment 1222133
mwanamke asie na mapichapicha mengi kwenye simu zama hizi ni kiumbe adimu sanaMimi mwenyewe sipendi picha, japo nilishatuma moja tangu siku ile ila nikaifuta na kwenye gallery nimefuta picha zangu zote maana storage ya simu yangu nayo si rafiki.
haiingizi memo card?Serious, nina kasamsung ka gb 8.
Sasa naelewa how u are not single single😄Hii ya kulalia wandugu. Kaka angu Mshana buku kumi langu kesho lisukumie kwneye namba yangu ileView attachment 1222276