Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nani kasema?? Mie mwenyewe wale wale tu ndiyo maana nasema wazuri "walikuwa wanahesabika" lakini uzuri unatofautiana kati ya mtu na mtu maana mimi binafsi hadi mwanamke mwenzangu nimuone kama ni mzuri basi nimempitisha kwenye chujio hasa
Yaani sifa nilizoziweka za mimi kusema kwamba huyu mwanamke kweli ni mzuri hata mimi sina hizo sifa ndiyo maana hata mimi sijihesabii kama ni mzuri na wala hata siku moja hauwezi nikuta najisifia kuwa eti mimi ni mzuri yaani sijawahi kujikubali!!
unakosea sana kutojikubali aisee..
Kama wewe ulivyo na vigezo vya uzuri ndivyo na kila mtu alivyo na vyake.
Wewe hujikubali Ila Kuna watu huko ambao unawapagawisha si kidogo ujue yawezekana bila hata wewe kujua
 
wanasemaga nyani haoni Ku........
Haswaaaa!
Huyu si yule alifungua uzi sijui wadada wa jf wachfu, sijui kucha chafu akapost na picha ya kucha zimepakwa rangi tena jelly nzuri tuu rangi ya kike ya pink akasema huyo dada mchafu?
Nikajisemea kama zile kucha zina uchafu basi mpenzi wake ni malaika , siamini nilichokiona kwa kweli. Ndio maana siamini wakosoaji wa mitandaoni. Kashfa nyingi mitandaoni kumbe hamna kitu.
 
Back
Top Bottom