Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Tupo wengi mkuuBasi ninavyopenda mwanamke asie suka!!
Tupo wengi mkuuBasi ninavyopenda mwanamke asie suka!!
kwel mkuu ila izi zama zitakuwa na karatasi tu haziwez jaza kitabuUle msemo wa kila zama na kitabu chake utachukua nafasi yake.
Mbona iko vizuri hii.Mbeya hali ya hewa hadi inakeraView attachment 1664882
Heeeh nashangaa hapo na mie kuiona lol, ina ladha gan?Mimi mwenyewe nilikuwa siijui
Jomoneeeeeeeh huyo mlipa naul yupo bizze kutoa faranga mfukoni,Boss mlipa nauli...View attachment 1664927
View attachment 1664928
Happy new year cocastic Saint Anne Chakorii Karma na wanaselfie
wengine wote![]()
Unafahamu wanavyoandaa labdaNdafu inaachwa hvohvo kama hapo yaan![]()
Yoghurt hiyo kwiooooo. Piga kelele kwa yoghurt yakeeeeeeeeeee.Umetaman tayar yoghurt yangu.. It's sweet. Sijui kwanini muda wote sikujua yoghurt tamu hivyo
Heri ya mwaka mpya mpendwaUsiku sisafiri
Wapi hiyoCapital cityView attachment 1658923
PoleMaana kwa ajili yangu Mtoto amezaliwaView attachment 1658924
Miaka kadhaa ajali ilikwapua nyama zote na mishipa ya mguu..
MUNGU ni mwaminifu sana....mguu unarudi.
Happy New Year To You And Your FamilyBoss mlipa nauli...View attachment 1664927
View attachment 1664928
Happy new year cocastic Saint Anne Chakorii Karma na wanaselfie
wengine wote![]()
Watu na mira zaoKusema ukweli tunapenda nyama ya mbuzi lakini uandaaji wa namna hii haupendezi Wala havutii, na ni unyanyasaji wa viumbe tulipewa na MolaView attachment 1665005
Ulienda kiwanja gani BossNdio maana mlishindwa kusherekea mwaka mpya jana. Maana Kulikuwa kumepooza. Kufika saa name tu polisi wakaanza kupita eti wanafunga bar. Ila Police wa Mbeya njaa kali
Hawezi kuwa mkorofi mpaka apigwe/ninpige ban la jumla jumla 🙂🙂Amekula life ban nini 😄😄
Asanteee!🙂Mbona umependesa aseeeh 😍Unyoage tyu 😋
Mbona huwa naona kwenye picha wamekatakata vipande?.Uombe usiolewe uchagani
Asante ustadhHeri ya mwaka mpya mpendwa
Badirisha/Badilika.Hayo ndio yanafanyika kwenye jamii yatu ya kichaga, sikuwahi kupenda utaratibu huu kwa kweli