Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Sikuwepo ila aliyepasuliwa na baruti itakuwa alikuwa wa kishua..Yohhhh
Nakumbuka wakati nasoma kuna mtoto alimpasua mwenzie na baruti zenu za kienyeji hizi 🥴🥴🥴
Sikuwepo ila aliyepasuliwa na baruti itakuwa alikuwa wa kishua..Yohhhh
Nakumbuka wakati nasoma kuna mtoto alimpasua mwenzie na baruti zenu za kienyeji hizi 🥴🥴🥴
DadekMimi nilikuwa kwenye lile kundi la walipua barutiView attachment 1664949
Unayemiliki ubavu wake wa kushoto😊Mod wa hii thread???🙄🙄 Ni nani kwani??🤔🤔
Kuna ile ya plug, ukiijaza vizuri njiti za kiberiti ni zaidi ya ammonia ikichanganywa na C4😀😀Sikuwepo ila aliyepasuliwa na baruti itakuwa alikuwa wa kishua..
Utamsubiria kama wengine tunavyomsubiria Messiah 😀😀Unayemiliki ubavu wake wa kushoto😊
Aaah zile plug za pikipiki ni hatari alafu zinajipa adi raha yani mlipuko wa hapo nilikuwa najiona nimekuwa rambo😅😅😅Kuna ile ya plug, ukiijaza vizuri njiti za kiberiti ni zaidi ya ammonia ikichanganywa na C4😀😀
Amekula life ban nini 😄😄Utamsubiria kama wengine tunavyomsubiria Messiah 😀😀
Mbona umependesa aseeeh 😍Unyoage tyu 😋Kiherehere cha kunyoa kisije kikanipitia tu tena 🥴🥴View attachment 1664976
msalimie madame White 😄The only thing I achieved in this Year.. it's just this cup of Yoghurt. May Almighty protect it forever
View attachment 1664975
Daaah nimekumbuka mbali kidogo 99 Tulikua tukiunda kitu Kama hiki na kujaza njiti za kiberiti! Ila mlipuko wake sio wa kitoto

The only thing I achieved in 202Year.. it's just this cup of Yoghurt. May Almighty protect it forever
View attachment 1664975











Ukipata spoku ya pikipiki ndio bishara inaeleweka!Kuna ile ya plug, ukiijaza vizuri njiti za kiberiti ni zaidi ya ammonia ikichanganywa na C4![]()
Basi ninavyopenda mwanamke asie suka!!
Thick cup of yoghurt. Kama nakuona unavyojinywea yoghurt yako swaaaaaafi. Ukimaliza unalambalamba kabisa hiyo cup mpaka yoghurt inakwisha. Kwani nasema uongo ndugu zangu?The only thing I achieved in 202Year.. it's just this cup of Yoghurt. May Almighty protect it forever
View attachment 1664975
Hivi Kwanini jamani mtu akinitag sioni 😢😢Boss mlipa nauli...🙂View attachment 1664927
View attachment 1664928
Happy new year cocastic Saint Anne Chakorii Karma na wanaselfie
wengine wote 🥳🥳😘
Namalizia malizia kulipua hapamtakatifu haki nimecheka ujue..wewe kisanga Kweli tena



Kunyoa ndio habari ya mjini
