Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

saiv nitakua mwepesi hata kwenye ile amri sema kakitambi kakufutia simu na kakukopea hamna Tena,, nimekaa karibu miez miwili , ntakuja kwenu uniombee au vp?
Karibu sana,ungesema mapema ningekuja kukuchukua ule pilau...
Maombi nitakufanyia hadi shetani atakoma.

Simu utafuta na kitambaa

Watoto wadogo mnakuwa na vitambi!
Ulisikia wapi??
IMG-20201210-WA0053.jpg
 
Sio kweli ndugu. Ziko jela za namna nyingi katika tafsiti ambazo mwanaume huwa anapitia lakini si kwakwamba kutokuwekwa jala ya polisi au ya magereza sio mwanaume!!
Mkuu wanaume huwa tunajipa moyo tu kwenda rumande tunaona kama ni sehemu ya maisha tuu.
Hii ndo tafsiri yake
 
poa Basi nitakupeleka ukaonje st Anne angalau usadifu yaliyomo kwenye jina lako
Unataka nishindwe kurudi nyumbani?
Utanipa nitaonjea nyumbani ,hata nikilewa basi nijitupe kitandani..

Tutaenda kanisani,Kuna kanisa j2 nataka niende...Kuna siku nilikuwa napita nje mafundisho yao yakanivutia.
 
Wacha bwana

Mimi nguo nilizowahi kugongwa nazo Sangu sikuzitia Moto,na siku mojamoja nilikuwa navaa Sweta Kama ukumbusho japo ilikuwa imetoboka sana.
Homie Za rumande ukitoka lazima uzipige moto tunaamini zinatoka na vingi ila za ajali sawaa tuu.

Anyway pole na hiyo ajali ya sangu Mtaani kwangu
 
Back
Top Bottom