Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hata wewe ulishindwa nipeleka vacationDadek
Ona Sasa nalipua baruti

Hata wewe ulishindwa nipeleka vacationDadek

Hata Sasa mimi Ni mzee na sijawahi kunywa.Ukikua utakunywa
Acha kuchunguza sana kaka😅😅😂😂Kwani yupo zenji yeye😊
Ndio ndio
Unapekenyua sana na wewe...Amekula life ban nini 😄😄
Sio kwamba umeachivu kumiliki hips matratra kiongoziThe only thing I achieved in 202Year.. it's just this cup of Yoghurt. May Almighty protect it forever
View attachment 1664975
Utaswekwa ndani mtakatifu ohoooooooNamalizia malizia kulipua hapa
Sikukuu iishe vizuri
Nilishindwa nikutafutie wapi kati ya Mbeya au Dom😀Hata wewe ulishindwa nipeleka vacation
Ona Sasa nalipua baruti![]()
😄😄😄Jasusi mbobevu mieUnapekenyua sana na wewe...
Huko nje kuna watoto wanazilipua sanaUtaswekwa ndani mtakatifu ohooooooo
Yah sure.. Unakuwa kama una mla mzimaKusema ukweli tunapenda nyama ya mbuzi lakini uandaaji wa namna hii haupendezi Wala havutii, na ni unyanyasaji wa viumbe tulipewa na MolaView attachment 1665005
We naweNilishindwa nikutafutie wapi kati ya Mbeya au Dom![]()

Nimeacha MkuuAcha kuchunguza sana kaka😅😅
Mimi siwezi kula mbuzi wa hiviKusema ukweli tunapenda nyama ya mbuzi lakini uandaaji wa namna hii haupendezi Wala havutii, na ni unyanyasaji wa viumbe tulipewa na MolaView attachment 1665005
acha tu mkuu watoto wa siku hizi sijui watakumbushana nini wakikuaDaaah nimekumbuka mbali kidogo 99 Tulikua tukiunda kitu Kama hiki na kujaza njiti za kiberiti! Ila mlipuko wake sio wa kitoto![]()
Hayo ndio yanafanyika kwenye jamii yatu ya kichaga, sikuwahi kupenda utaratibu huu kwa kweliYah sure.. Unakuwa kama una mla mzima
Uombe usiolewe uchaganiMimi siwezi kula mbuzi wa hivi
Ule msemo wa kila zama na kitabu chake utachukua nafasi yake.acha tu mkuu watoto wa siku hizi sijui watakumbushana nini wakikua
NisameheWe nawe
Ulishindwa kuniuliza?